poor analysis, poor thinking. Like ur name, realy u need to think twice before u comment.Wakati CHADEMA wanabadilisha rangi za bendera yao na kuweka rangi nyekundu ndani ya bendera mpya, watu wengi tulikuwa hatujawaelewa .
Ila hivi sasa kwa yanayo jidhihirisha ni wazi kabisa maana ya rangi hiyo inaonekana wazi. Kwani matukio ya hivi karibuni ya kutaka kumuua Mh. Mbunge wa Tarime kwa kumpiga mawe , na jana kumpiga risasi Mwenyekiti wa halmashauri ya Rungwe, yaonekana kabisa kuna mkono wa CHADEMA na kuna kikosi maalum cha mauaji kimeundwa kwa ajili ya kutekeleza yale yaliyomo kwenye bendera yao ya alama nyekundu ambayo ni mauaji na umwagaji damu