OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Kiongozi wa msafara kanda ya ziwa aliyetumwa na kamati ya chadema ili kuzunguka nchi nzima kutangaza mabaya ya zitto kabwe ameumbuliwa na kikao cha madiwani na wanachadema ....
Madiwani waliuliza kwann zitto hakufukuzwa toka zamani mpaka musubiri kipindi cha uchaguzi ??
Wakafika mbali na kusema km zitto akifukuzwa basi muwalete madiwani kutoka kilimanjaro waje kushika nafasi zetu huku shinyanga
tumechoka na tabia za ubaguzi.....
Cc: Chadema wahafidhina
Madiwani waliuliza kwann zitto hakufukuzwa toka zamani mpaka musubiri kipindi cha uchaguzi ??
Wakafika mbali na kusema km zitto akifukuzwa basi muwalete madiwani kutoka kilimanjaro waje kushika nafasi zetu huku shinyanga
tumechoka na tabia za ubaguzi.....
Cc: Chadema wahafidhina