John Mrema aumbuliwa Shinyanga

Status
Not open for further replies.
waliberali wamefanikiwa kutuhamisha kwrnye mjadala wa katiba mpya.kweli CDM inaongoza nchi
 
kamati ya siri hyo imeundwa na mbowe kwenda kueneza mabaya ya zzk


mnamuogopa mtu mpka mbafanya mbinu chafu daahhh


wahafidhina kwishney

hizi kwa uozo anaoufanya zitto ndani ya chama kuna mjumbe yoyote anaweza kumchagua uenyekiti wa chama labda tahira mwenzake na sitaki kuamini kuwa ndani ya cc ya chadema ina matahira yanayoweza kumpa zitto kura za kumuwezesha kushinda..
 
Ndani ya Katiba ya Chadema toleo la 2006. Katika Kanuni za Uendeshaji Kazi za Chama. Sura ya 10, Ibara ya ix, imeandikwa: "Kiongozi asijihusishe au kushiriki na vikundi vya kuchonganisha au kuzua migogoro ndani ya Uongozi wa Chama au Wanachama wake."

Na katika Katiba hiyo hiyo Sura ya 7 kuhusu kazi za Kamati Kuu, Ibara ya 7, Ibara ndogo t, imeandikwa: "Kufanya uamuzi juu ya mapendekezo ya kufukuza Mwanachama." Na Ibara ndogo v, imeandikwa: "Kumwachisha ujumbe wa Kamati Kuu mjumbe mteule ambaye ataenda kinyume na Katiba, Kanuni na Maadili au kushindwa kukidhi matakwa ya kuteuliwa kwake."

mkuu ubarikiwe sana
 
Jamani si mumeambiwa na Dr
slaa, mfunge midomo mbona bado mnapayuka payuka. Bw Ben have some
decensy , i trully regret to have though u to be one of the upcoming
young potential politicians, I made a mistake you have proven to be pon
in a game of chase, na kijana unatumika vibaya sana, wanasiasa hawawi
hivyo. i warn you that yhe same ppl who r using u now will dump you very
soon and u wont find any takers for your illegal servises. mungu
akuokowe

kama anavyotumika mtundu lusi,mshauri kwanza huyo hyo yote ni msikiv atakuelewa tu.
 
Mbona kuna chama cha WASUKUMA UDP kwa nini wasihamie huko?

Aliyekwambia madiwani wote wa Shy ni wasukuma nani? Unamfahamu Bobson wewe? By the way onene nalinsukuma haswa,acha kutuaibisha! Na usukuma wangu nimejiunga cdm nikiwa under 18 na sijawahi kuwa mwana Udp.
 
kamati ya siri hyo imeundwa na mbowe kwenda kueneza mabaya ya zzk


mnamuogopa mtu mpka mbafanya mbinu chafu daahhh


wahafidhina kwishney

Nonesense! Mnajitungia uongo ili muonekane mnaogopwa?Nimekuuliza hiyo kamati iliundwa na nani na kama ni ya siri wewe umejuaje?
 
ushahidi kamili muulizeni john mrema kilichomkuta huko shinyanga

ameumbuka vbaya vbaya ...

Mnaambiwa mjadala umeisha huku nyuma wanazunguka na kutuma watu wakapakaze mabaya ya zitto

Acha upuuzi wewe... Shinyanga gani unayoizungumzia wewe mbweha?? Na mi ndo nipo Shinyanga na ni kada wa Chadema, hakuna mtu aliyetumwa kumsema vibaya Zito.. On top, hakuna mwana'cdm aliyeumbuliwa hapa Shy zaidi ya Shibuda kufukuzwa kwenye uchaguzi wa kanda kutoka na umamluki wake!
 
Jamani si mumeambiwa na Dr slaa, mfunge midomo mbona bado mnapayuka payuka. Bw Ben have some decensy , i trully regret to have though u to be one of the upcoming young potential politicians, I made a mistake you have proven to be pon in a game of chase, na kijana unatumika vibaya sana, wanasiasa hawawi hivyo. i warn you that yhe same ppl who r using u now will dump you very soon and u wont find any takers for your illegal servises. mungu akuokowe

Kazi ipo
 
Acha uongo.Njoo uthibitishe haya!Ni kamati gani hiyo?

achana na mjinga. mimi nilikuwepo kikaoni na wengi wa makamanda walipongeza hatua hiyo na wakaomba matawi ya wasaliti wengine watimuliwe. inawezekana huyu ni mamluki wa ccm anayefanya kaz chini ya zitto. tutamtafuta na tutampata.
 
Kweli kabisa wawapeleke hao madiwani wa Arusha washike hizo nafasi.
Nawapongeza hao madiwani kwa kuamua kusema ukweli bila kuteteleka.
Kiongozi wa msafara kanda ya ziwa aliyetumwa na kamati ya chadema ili kuzunguka nchi nzima kutangaza mabaya ya zitto kabwe ameumbuliwa na kikao cha madiwani na wanachadema ....

Madiwani waliuliza kwann zitto hakufukuzwa toka zamani mpaka musubiri kipindi cha uchaguzi ??

Wakafika mbali na kusema km zitto akifukuzwa basi muwalete madiwani kutoka kilimanjaro waje kushika nafasi zetu huku shinyanga

tumechoka na tabia za ubaguzi.....

Cc: Chadema wahafidhina
 
Acheni kuweweseka chadema

ww ben sa8 muulize kuwadi mwenzako wa mbowe atakwambia kilichomkuta huko shinyanga
 
achana na mjinga. Mimi nilikuwepo kikaoni na wengi wa makamanda walipongeza hatua hiyo na wakaomba matawi ya wasaliti wengine watimuliwe. Inawezekana huyu ni mamluki wa ccm anayefanya kaz chini ya zitto. Tutamtafuta na tutampata.

hahahaaaaaa sasa jazba za nini ??

Mnitafute kwa story hii ya kipuuzi ???

Si mnasema imetungwa?? Mapovu ya nini sasa ??

Wenzenu wanakana hakuna hiko kikao.....mpe pole john mrema
 
Daa bavicha hivi mna chuo maalum cha kufundishwa matusi?
Hivi ni nani amemtuma lema na wenzie kumsema vibaya zitto kwenye mikutano.
Acha upuuzi wewe... Shinyanga gani unayoizungumzia wewe mbweha?? Na mi ndo nipo Shinyanga na ni kada wa Chadema, hakuna mtu aliyetumwa kumsema vibaya Zito.. On top, hakuna mwana'cdm aliyeumbuliwa hapa Shy zaidi ya Shibuda kufukuzwa kwenye uchaguzi wa kanda kutoka na umamluki wake!
 
John Mrema kachoka kabisa(ndembendembe),wachagga wana umoja walimtuma kanda ya ziwaaaaaaaaaa!!!!! na hakuogopa akavaa mabomu.
 
Kiongozi wa msafara kanda ya ziwa aliyetumwa na kamati ya chadema ili kuzunguka nchi nzima kutangaza mabaya ya zitto kabwe ameumbuliwa na kikao cha madiwani na wanachadema ....

Madiwani waliuliza kwann zitto hakufukuzwa toka zamani mpaka musubiri kipindi cha uchaguzi ??

Wakafika mbali na kusema km zitto akifukuzwa basi muwalete madiwani kutoka kilimanjaro waje kushika nafasi zetu huku shinyanga

tumechoka na tabia za ubaguzi.....

Cc: Chadema wahafidhina
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu mbulula mkubwa
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom