kamati ya siri hyo imeundwa na mbowe kwenda kueneza mabaya ya zzk
mnamuogopa mtu mpka mbafanya mbinu chafu daahhh
wahafidhina kwishney
Ndani ya Katiba ya Chadema toleo la 2006. Katika Kanuni za Uendeshaji Kazi za Chama. Sura ya 10, Ibara ya ix, imeandikwa: "Kiongozi asijihusishe au kushiriki na vikundi vya kuchonganisha au kuzua migogoro ndani ya Uongozi wa Chama au Wanachama wake."
Na katika Katiba hiyo hiyo Sura ya 7 kuhusu kazi za Kamati Kuu, Ibara ya 7, Ibara ndogo t, imeandikwa: "Kufanya uamuzi juu ya mapendekezo ya kufukuza Mwanachama." Na Ibara ndogo v, imeandikwa: "Kumwachisha ujumbe wa Kamati Kuu mjumbe mteule ambaye ataenda kinyume na Katiba, Kanuni na Maadili au kushindwa kukidhi matakwa ya kuteuliwa kwake."
Jamani si mumeambiwa na Dr
slaa, mfunge midomo mbona bado mnapayuka payuka. Bw Ben have some
decensy , i trully regret to have though u to be one of the upcoming
young potential politicians, I made a mistake you have proven to be pon
in a game of chase, na kijana unatumika vibaya sana, wanasiasa hawawi
hivyo. i warn you that yhe same ppl who r using u now will dump you very
soon and u wont find any takers for your illegal servises. mungu
akuokowe
waliberali wamefanikiwa kutuhamisha kwrnye mjadala wa katiba mpya.kweli CDM inaongoza nchi
Mbona kuna chama cha WASUKUMA UDP kwa nini wasihamie huko?
kamati ya siri hyo imeundwa na mbowe kwenda kueneza mabaya ya zzk
mnamuogopa mtu mpka mbafanya mbinu chafu daahhh
wahafidhina kwishney
kamati ya siri hyo imeundwa na mbowe kwenda kueneza mabaya ya zzk
mnamuogopa mtu mpka mbafanya mbinu chafu daahhh
wahafidhina kwishney
ushahidi kamili muulizeni john mrema kilichomkuta huko shinyanga
ameumbuka vbaya vbaya ...
Mnaambiwa mjadala umeisha huku nyuma wanazunguka na kutuma watu wakapakaze mabaya ya zitto
Jamani si mumeambiwa na Dr slaa, mfunge midomo mbona bado mnapayuka payuka. Bw Ben have some decensy , i trully regret to have though u to be one of the upcoming young potential politicians, I made a mistake you have proven to be pon in a game of chase, na kijana unatumika vibaya sana, wanasiasa hawawi hivyo. i warn you that yhe same ppl who r using u now will dump you very soon and u wont find any takers for your illegal servises. mungu akuokowe
Acha uongo.Njoo uthibitishe haya!Ni kamati gani hiyo?
Kiongozi wa msafara kanda ya ziwa aliyetumwa na kamati ya chadema ili kuzunguka nchi nzima kutangaza mabaya ya zitto kabwe ameumbuliwa na kikao cha madiwani na wanachadema ....
Madiwani waliuliza kwann zitto hakufukuzwa toka zamani mpaka musubiri kipindi cha uchaguzi ??
Wakafika mbali na kusema km zitto akifukuzwa basi muwalete madiwani kutoka kilimanjaro waje kushika nafasi zetu huku shinyanga
tumechoka na tabia za ubaguzi.....
Cc: Chadema wahafidhina
achana na mjinga. Mimi nilikuwepo kikaoni na wengi wa makamanda walipongeza hatua hiyo na wakaomba matawi ya wasaliti wengine watimuliwe. Inawezekana huyu ni mamluki wa ccm anayefanya kaz chini ya zitto. Tutamtafuta na tutampata.
Acha upuuzi wewe... Shinyanga gani unayoizungumzia wewe mbweha?? Na mi ndo nipo Shinyanga na ni kada wa Chadema, hakuna mtu aliyetumwa kumsema vibaya Zito.. On top, hakuna mwana'cdm aliyeumbuliwa hapa Shy zaidi ya Shibuda kufukuzwa kwenye uchaguzi wa kanda kutoka na umamluki wake!
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu mbulula mkubwaKiongozi wa msafara kanda ya ziwa aliyetumwa na kamati ya chadema ili kuzunguka nchi nzima kutangaza mabaya ya zitto kabwe ameumbuliwa na kikao cha madiwani na wanachadema ....
Madiwani waliuliza kwann zitto hakufukuzwa toka zamani mpaka musubiri kipindi cha uchaguzi ??
Wakafika mbali na kusema km zitto akifukuzwa basi muwalete madiwani kutoka kilimanjaro waje kushika nafasi zetu huku shinyanga
tumechoka na tabia za ubaguzi.....
Cc: Chadema wahafidhina
ukiwa muongo uwe na kumbukumbu mbulula mkubwa