Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,497
- 2,214
Ni suala la muda sio suala la 'Labda'. Haijalishi nini kitatokea ila watapoteana na umaarufu utatoweka mazima. Na nakuahidi muda sio mrefu, Watanganyika sio Misukule.Labda CCM igawanyike kama alivyosema Baba wa Taifa Nyerere lakini siyo vyama hivi vilivyopo sasa. Kanu iligawanyika na vyama vinavyoogoza sasa hivi Kenya nikutoka kwenye hiyo Kanu.