Nawe upo hapa lakini mkuu sema wewe una multilpe IDs...naipenda jf, the home of great thinkers...
kaka nina ud moja tu, ila hata mi naipenda jf ila sasa kwanini unajidharirisha kwa kutoa koment kama hutumii kichwa kufikiri
Nawe upo hapa lakini mkuu sema wewe una multilpe IDs...naipenda jf, the home of great thinkers...
Eti mtoto wa mkulima, mtoto wa mkulima mjinga kiasi hiki mnafiki kazi yake kulialia tu wakati yeye ndiyo kiongozi wa serikali, watoto wa wakulima/ wafungaji walikuwa akina Sokoine siyo huyu mpuuzi...
yeah, ila leo hajalia wakuu!! alikuwa confident wakati anagagadua uongo wake. ame-improve!!Nampongeza sana Mbunge wa Ubungo, John Mnyika kwa kumuumbua Waziri Mkuu, Mizengo Pinda juu ya uongo wake kwa Taifa kuhusu mapendekezo ya Mabadiliko ya Katiba Mpya yaliyowasilishwa na Chadema. Nami nathibitisha Pinda ni Muongo kinoma!
Hata hueleweki. Mnyika amesemaje acha kuweweseka
Mkuu kumbuka kuna watu wanafatilia bunge kupitia jf, lengo langu kumwambia mleta mada aripoti kile kinachotokea ama alichosema mnyika ni ili wanaofatilia kupitia mtandao hawako kwenye tv wapate real info sio hisia zake...mada yangu kuhusu mbowe sijaweka neno langu hata moja. Mm sio gamba
Jioni hii wakati pinda akihitimisha bajeti yake, aliweza kuongopa kuwa sheria ya mabadiliko ya katiba kuwa kuna kipengere kinachotaka baraza la katiba la wilaya linachaguliwa na WDC kitu ambacho c kweli, pili kuwa Chadema haikupeleka mapendekezo ya mabadiliko ya katiba awamu ya pili kitu c cha kweli Mnyika alisema yeye ndio aliyepeleka. Akaomba muongozo kwa waziri mkuu kusema uongo, na hii ni mara ya pili ikiwa awali muongozo wa kusema uongo haukutolewa. Spika amesema kesho atatoa muongozo.