John Mnyika: Pinda ni muongo

John Mnyika: Pinda ni muongo

Jioni hii wakati pinda akihitimisha bajeti yake, aliweza kuongopa kuwa sheria ya mabadiliko ya katiba kuwa kuna kipengere kinachotaka baraza la katiba la wilaya linachaguliwa na WDC kitu ambacho c kweli, pili kuwa Chadema haikupeleka mapendekezo ya mabadiliko ya katiba awamu ya pili kitu c cha kweli Mnyika alisema yeye ndio aliyepeleka. Akaomba muongozo kwa waziri mkuu kusema uongo, na hii ni mara ya pili ikiwa awali muongozo wa kusema uongo haukutolewa. Spika amesema kesho atatoa muongozo.

Nnafikiri katika kukariri hotuba yake,hapa alijisahau na kuchanganya mambo.
 
Eti mtoto wa mkulima, mtoto wa mkulima mjinga kiasi hiki mnafiki kazi yake kulialia tu wakati yeye ndiyo kiongozi wa serikali, watoto wa wakulima/ wafungaji walikuwa akina Sokoine siyo huyu mpuuzi...

taratibu na lugha yako.Najua hasira ya maisha magumu yamekutinga lakini haiondoi ustaraabu tuliojijengea humu JF
 
Pinda kwa mara nyingine anaitwa Muongo ndani ya Bunge? Hii ni record mpya
 
Kama umefuatilia vizuri mwanasheria mkuu wa serikali ameyeyusha hoja ya Mnyika alipokuwa akimjibu Mbowe aliposisitiza azima ya Chadema kujitoa katika mchakato wa katiba
Alikuwa Waziri wa sheria na siyo mwanasheria mkuu. kwa mwonekano wangu waziri alithibitisha kuwa Waziri Mkuu hakujibu sahihi na kauli yake haikuwa sahihi. swali ni kwa nini waziri au hata tume ya katiba ilimpa majibu ya uongo!
 
Wajinga waongo sasa hivi
mary nagu hajui hata wizara eti anasema wizara ya kazi vijana na
maendeleo ya michezo what a heck waziri hajui wizara

Mkuu si kwamba kuna degree za chupi tu, hata uwaziri wa chupi hupo, kwa hiyo mimi sishangai saanaaa tunapokuwa na mawaziri mfano wa kina mary nagu...
 
Unampongeza amekupa nn mkuu..weka hapa maelezo ya mh Mnyika tujue ili tuchangie

maCCM majinga sana! Eti yanajiri watu wa kubishana kwenye mitandao ya kijamii badala ya kuajiri watu wa kutekeleza ahadi zaidi ya 100 walizowaahidi watz. Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa.
 
Eti mtoto wa mkulima, mtoto wa mkulima mjinga kiasi hiki mnafiki kazi yake kulialia tu wakati yeye ndiyo kiongozi wa serikali, watoto wa wakulima/ wafungaji walikuwa akina Sokoine siyo huyu mpuuzi...

Labda mtoto wa mkulima wa mavi
 
tupe taarifa kamili, Mnyika alitoa taarfa kwa bunge? Baada ya PM kumaliza? Samahani lakini siku hizi nimeacha kuangalia bunge, bora nikashinde baa.
hata mimi mkuu maana watu wameacha kujadili mambo ya msingi wanajadili movie isiyotambuliwa na BASATA. huu ni ujinga mkubwa sana.:bounce:
 
muwe mnajihangaisha walau kutafuta information sio kutafuniwa kila kitu humu unataka akopy hansard au ni wale wa kawambwa (0)?
Unampongeza amekupa nn mkuu..weka hapa maelezo ya mh Mnyika tujue ili tuchangie
 
waziri mkuu amedanganya bunge wakati akijumuisha hoja yake kuhusu upatikanaji wa wajumbe wa mabaraza ya katiba Mnyika kaomba muongozo lakini kama kawaida Spika.........katumia rungu.
pinda tatizo anakunywa sana konyagi
 
Wakati Pinda alipokuwa anatoa majumuisho ya hoja yake, alisema kuwa upatikanaji wa wajumbe wa mabaraza ya katiba ya wilaya ngazi ya serikali za mitaa, ulipitishwa bungeni na wabunge wote wakiwepo wa CHADEMA. Alipomaliza hotuba, Mnyika alisimama kuomba mwongozo wa spika kwa waziri Mkuu kusema uongo bungeni.

Mama Makinda akamwambia atampa mwongozo kesho yake (leo). Muda mfupi tu akasimama Waziri wa Sheria na Katiba, na kusema kuwa wajumbe wa mabaraza ya katiba ya wilaya ngazi ya serikali za mitaa wamepatikana kutokana na utaratibu wa Tume ya Katiba jinsi ilivyoona.

Hapa waziri akawa ameipa nguvu hoja ya Mnyika kuwa Pinda alidanganya kuwa utaratibu wa kuwapata ulipitishwa bungeni. Ninategemea Mnyika atapata nguvu zaidi leo ya mwongozo wake kwa kutumia kauli ya Waziri wa Sheria na Katiba
 
kwani mamlaka hayo tume si imeyapata kupitia sheria iliyotungwa na bunge?

Wakati Pinda alipokuwa
anatoa majumuisho ya hoja yake, alisema kuwa upatikanaji wa wajumbe wa
mabaraza ya katiba ya wilaya ngazi ya serikali za mitaa, ulipitishwa
bungeni na wabunge wote wakiwepo wa CHADEMA. Alipomaliza hotuba, Mnyika
alisimama kuomba mwongozo wa spika kwa waziri Mkuu kusema uongo bungeni.
Mama Makinda akamwambia atampa mwongozo kesho yake (leo). Muda mfupi tu
akasimama Waziri wa Sheria na Katiba, na kusema kuwa wajumbe wa
mabaraza ya katiba ya wilaya ngazi ya serikali za mitaa wamepatikana
kutokana na utaratibu wa Tume ya Katiba jinsi ilivyoona. Hapa waziri
akawa ameipa nguvu hoja ya Mnyika kuwa Pinda alidanganya kuwa utaratibu
wa kuwapata ulipitishwa bungeni. Ninategemea Mnyika atapata nguvu zaidi
leo ya mwongozo wake kwa kutumia kauli ya Waziri wa Sheria na
Katiba
 
Pinda kulia ndio jadi yake na sura yake mbaya Uwongo kwake ni jambo la kawaida
 
JF ilikusudia great thinkers watumie forum hii kujadili na kuingiza great idears zitakazo saidia kuongeza kasi ya maendeleo ya nchi yetu.Kwa yanayoendelea sasa,sina uhakika kama hao Great Thinkers bado wamo humu.Great thinker hawezi kuona Mnyika kuasema Pinda muongo ni Great issue, issue ilitakiwa tujadili huounaoitwa uongo je ni kweli?Pinda kasema uundwaji wa mabaraza ya katiba ni kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na wabunge wenyewe, Mnyika anadai si kweli haipo hiyo kwenye sheria.Lakini kwa waliomsikiwa mwanasheria mkuu jana akijibu hoja ya Mbowe kwenye kamati ya matumizi, Alifafanua kuwa Sheria ile imetoa uhuru kwa tume kubuni njia ya utekelezaji wa majukumu yake na ndio iliyokuja na wazo ya kutumia viongozi wa vitongoji kutumika ktk uundaji wa mabaraza hayo, na wakaomba ushauri wa wadau (CDMwakiwamo) mpango ukapita.Muongo ni nani Pinda au Mnyika.Hili ni tatizo la kutafsiri Sheria kwa kusoma mstari mmoja kama tufanyavyo kwenye vitabu vitakatifu.
 
waziri mkuu amedanganya bunge wakati akijumuisha hoja yake kuhusu upatikanaji wa wajumbe wa mabaraza ya katiba

Mnyika kaomba muongozo lakini kama kawaida Spika.........katumia rungu.
Sasa ulitegemea spika amwambie WAZIRI MKUU asimame kuomba msamaha kwa Mnyika?
 
Back
Top Bottom