John Mnyika: Pinda ni muongo

John Mnyika: Pinda ni muongo

Ni pale alipokuwa anasoma majumuisho ya bajeti ya wizara ya ofisi ya Waziri mkuu. Amedai kwamba CHADEMA hawakushiriki kwenye moja ya vipengere kama ilivyotakiwa kwa vyama vya siasa kwenye kutoa maoni ya katiba mpya.
Mh. Mnyika amesimama na kueleza wazi kwamba amedanya na kuomba mwongozo wa spika ambapo Spika amekinga kifua kwamba watatoa maamuzi ya mwongozo wake kesho.
 
waziri mkuu amedanganya bunge wakati akijumuisha hoja yake kuhusu upatikanaji wa wajumbe wa mabaraza ya katiba

Mnyika kaomba muongozo lakini kama kawaida Spika.........katumia rungu.
 
Waziri mkuu ametuhumiwa kuwa amesema uongo bungeni wakati akihitimisha hoja yake.
1. Ni kuhusu uundwaji wa mabaraza ya kata
2. CHADEMA hawakupeleka maoni yao kwenye tume ya mabadiliko ya katiba.
source TBC 1
 
Aise baada ya neno dhaifu sasa ni uongo!! Kijana nakumainia!!! Ila kumbuka watu wa kung'oa kucha na meno bila ganzi bado wapo. Ila kwa neema za Mungu wataumbuka tu. Watanzania wengi wamekata tamaa na maisha.
 
tupe taarifa kamili, Mnyika alitoa taarfa kwa bunge? Baada ya PM kumaliza? Samahani lakini siku hizi nimeacha kuangalia bunge, bora nikashinde baa.
 
Wewe umesikiliza au kuona kilichojiri. Unapaswa utupatie angalau background ya hoja yako kabla ya kudraw conclusion kuwa Mnyika amesema....
 
Nampongeza sana Mbunge wa Ubungo, John Mnyika kwa kumuumbua Waziri Mkuu, Mizengo Pinda juu ya uongo wake kwa Taifa kuhusu mapendekezo ya Mabadiliko ya Katiba Mpya yaliyowasilishwa na Chadema. Nami nathibitisha Pinda ni Muongo kinoma!

Unampongeza amekupa nn mkuu..weka hapa maelezo ya mh Mnyika tujue ili tuchangie
 
Nampongeza sana Mbunge wa
Ubungo, John Mnyika kwa kumuumbua Waziri Mkuu, Mizengo Pinda juu ya
uongo wake kwa Taifa kuhusu mapendekezo ya Mabadiliko ya Katiba Mpya
yaliyowasilishwa na Chadema. Nami nathibitisha Pinda ni Muongo
kinoma!

Pinda kusema uongo hajaanza leo, tena mkiendelea kum-bana ataanza kulia-lia...
 
Unampongeza amekupa nn mkuu..weka hapa maelezo ya mh mnyika tujue ili tuchangie

Wewe huwa unapewa nini....au unatoa nini.

uploadfromtaptalk1366128447754.jpg
 
Baada ya Pinda kujipinda kutoa hoja ya bajeti yake, Mnyika alisimama na kuomba mwongozo kutoka kwa Spika na akaruhusiwa ndipo alipomwaibisha Pinda na uongo wake. Hapo upoo?
 
Eti mtoto wa mkulima, mtoto wa mkulima mjinga kiasi hiki mnafiki kazi yake kulialia tu wakati yeye ndiyo kiongozi wa serikali, watoto wa wakulima/ wafungaji walikuwa akina Sokoine siyo huyu mpuuzi...
Huyu waziri historia itamuhukumu!
 
Wewe umeweka post ya Pinda na weledi wa Mbowe. Kama unaangalia bunge au upo bungeni guambie wewe kasemaje.

Au unajua kujamba tu kwasababu harufu huisikii kutokana na usugu wa magamba ya makamasi puani.

Mkuu kumbuka kuna watu wanafatilia bunge kupitia jf, lengo langu kumwambia mleta mada aripoti kile kinachotokea ama alichosema mnyika ni ili wanaofatilia kupitia mtandao hawako kwenye tv wapate real info sio hisia zake...mada yangu kuhusu mbowe sijaweka neno langu hata moja. Mm sio gamba
 
Back
Top Bottom