Mbona tumeisha wazoea kwa majungu yenu marangapi mmeleta uongo wenu na hakuna kilichofanyika hata hili la majina ni usanii tu kwa jinsi mnavyo penda sifa majina yangelikuwepo mbona mngeliataja siku nyingi sana wadanganye watz ila mwisho wa uongo wenu ndio mwisho wa siasa zenu za maji taka!!