John Mashaka adanganya umma kupitia ITV

John Mashaka adanganya umma kupitia ITV

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2009
Posts
3,444
Reaction score
265
John Mashaka akihojiwa na televisheni ya ITV, asema wazungu wengi wanaokuja kwa vigezo vya uwekezaji wanaweza kuwa hatari kwa usalama wa nchi na uchumi wake, kwani wengi wanakuwa hawaeleweki taalum zao, lakini kwa Tanzania wanapewa vibali vya uwekezaji bila vigezo muhimu kuzingatiwa. Hii ni baada ya yeye kukutana na wa south Africa, wasio na chakula wala hela katikati ya pori huku wakitaka kusafiri ndani ya mbuga ya wanyama ya serengeti.

Changamoto kwa Mashaka:
Hacha longolongo, bila hawa wazungu usingenunua bidhaa bei rahisi wala usingepanda ndege kuja Tanzania. Wewe nawe njoo tanzania uwekeze badala ya kutumwagia upupu na vitendo sifuri. Nawe ni ***** kwa kuwa kibaraka wa wamarekani
 
It is true wawekezaji wengi wanaokuja Tanzania ni feki, ni wizi na matapeli waambie TIC wachapishe list ya wawekezaji na mitaji waliyokuja wekeza utakuta geneuine investers hazidi hata aslimia tatu (3%), hiyo 97% ni wezi na matapeli tu wanaoshirikina na viongozi wetu kutuibia ndia maana hakuna efect za kiuchumi kwa wawekezaji toka nje wawepo wasiwepo hamna effect yeyete sana sana wanaongeza migogoro na fujo kwa ardhi ya wazalendo.
 
Sasa hapo uongo wake nini? au mkuu unamuonea wivu ukitaka kuhakiki maneno yake nenda Voda, na makampuni mengine ya simu omba vielelezo vya elimu kwa maxpert utajua kasema ukweli.
 
Hili la wawekezaji ni janga la taifa. Amini usiamini kuna wawekekezaji ambao unashindwa kuelewa wanawekeza nini. Fikiria mwekezaji anayefungua genge Kariakoo kuuza chips. Mwekezaji gani anapewa kibali cha kufungua mgahawa wenye thamani chini ya shs 200,000. Hii ni aibu kabisa sijui wenye mamlaka nchi hii wanatupeleka wapi
 
mwekezaj n nan?jaribun kuwa tafsir sawia sio kunena tu.hawa wachuuz au wahamia haramu ndo wapo kkoo hata vibal vya uwekezaj hawana.
 
By then who is the Guy,otherwise this is CRAP
 
By then who is the Guy,otherwise this is CRAP

Hapo kwenye red...ulikua unamaanisha nini? Which guy are you referring to? Is it John Mashaka or the guy who started the thread? If it's JM then unalo mkuu.....kama na ww bado humjui John Mashaka aka Yohana...basi ukae kimya! Ushauri wa bure kwako ni kwamba at least search biography yake kwenye internet waweza pata mawili matatu mkuu!
 
John Mashaka akihojiwa na televisheni ya ITV, asema wazungu wengi wanaokuja kwa vigezo vya uwekezaji wanaweza kuwa hatari kwa usalama wa nchi na uchumi wake, kwani wengi wanakuwa hawaeleweki taalum zao, lakini kwa Tanzania wanapewa vibali vya uwekezaji bila vigezo muhimu kuzingatiwa. Hii ni baada ya yeye kukutana na wa south Africa, wasio na chakula wala hela katikati ya pori huku wakitaka kusafiri ndani ya mbuga ya wanyama ya serengeti.

Changamoto kwa Mashaka:
Hacha longolongo, bila hawa wazungu usingenunua bidhaa bei rahisi wala usingepanda ndege kuja Tanzania. Wewe nawe njoo tanzania uwekeze badala ya kutumwagia upupu na vitendo sifuri. Nawe ni ***** kwa kuwa kibaraka wa wamarekani

Mod....tafadhali.....twakuomba usiruhusu kila post kuingia humu kwenye jukwaa la jamii.... ona maneno ya huyu jamaa....
Yeye anaona kila mwenye ngozi nyeupe ni muwekezaji.....(inasikitisha sana)....hujui kuna wengine wengi tu ni masikini sana tu....na wengine ni mateli.....na wengine ni watu wasio na elimu kabisa...n.k...
lakini wewe kwa uwezo wako wa kuelewa unawaona ni wawekezaji......%"!^&%$£........ndiyo nyie kila mkimuona mzungu mnafikiri ni Padre......sababu tu mzungu wa kwanza kumuona aliyekuja kijijini kwenu alikuwa padre......

Mashaka aliongea kitu cha msingi sana....kwamba tunapofanya biashara au kufanya nao kazi yoyote lazima tuwe na uangalifu mkubwa sana....tusiwe kama wajinga waliotuingiza kwenye mikataba ambayo wazungu wanachota mchanga wa dhahabu na kwenda nao tukitegemea ni waaminifu na watatuambia kile walicho kikuta kwenye mchanga.... pambafu%"(*&^%"£$"£$"$$£"!"

Kwa hiyo wewe unaona kununua substandard goods na kupanda ndege is great deal......
 
John Mashaka akihojiwa na televisheni ya ITV, asema wazungu wengi wanaokuja kwa vigezo vya uwekezaji wanaweza kuwa hatari kwa usalama wa nchi na uchumi wake, kwani wengi wanakuwa hawaeleweki taalum zao, lakini kwa Tanzania wanapewa vibali vya uwekezaji bila vigezo muhimu kuzingatiwa. Hii ni baada ya yeye kukutana na wa south Africa, wasio na chakula wala hela katikati ya pori huku wakitaka kusafiri ndani ya mbuga ya wanyama ya serengeti.

Changamoto kwa Mashaka:
Hacha longolongo, bila hawa wazungu usingenunua bidhaa bei rahisi wala usingepanda ndege kuja Tanzania. Wewe nawe njoo tanzania uwekeze badala ya kutumwagia upupu na vitendo sifuri. Nawe ni ***** kwa kuwa kibaraka wa wamarekani


Huyu John Mashaka yuko 100% correct. Kuna wazungu huku mjini unashangaa walipataje viza. Personally nilisham-report mmoja baada ya kuona movement zake za ajabu ajabu! Kwa bahati nzuri kakimbia yuko kwao sasa.
 
John Mashaka akihojiwa na televisheni ya ITV, asema wazungu wengi wanaokuja kwa vigezo vya uwekezaji wanaweza kuwa hatari kwa usalama wa nchi na uchumi wake, kwani wengi wanakuwa hawaeleweki taalum zao, lakini kwa Tanzania wanapewa vibali vya uwekezaji bila vigezo muhimu kuzingatiwa. Hii ni baada ya yeye kukutana na wa south Africa, wasio na chakula wala hela katikati ya pori huku wakitaka kusafiri ndani ya mbuga ya wanyama ya serengeti.

Changamoto kwa Mashaka:
Hacha longolongo, bila hawa wazungu usingenunua bidhaa bei rahisi wala usingepanda ndege kuja Tanzania. Wewe nawe njoo tanzania uwekeze badala ya kutumwagia upupu na vitendo sifuri. Nawe ni ***** kwa kuwa kibaraka wa wamarekani

Wewe ndo unataka kutudaganya hapa. Yawezekana unamasilahi fulani na hao wawekezaji feki wa kizungu.
 
John Mashaka akihojiwa na televisheni ya ITV, asema wazungu wengi wanaokuja kwa vigezo vya uwekezaji wanaweza kuwa hatari kwa usalama wa nchi na uchumi wake, kwani wengi wanakuwa hawaeleweki taalum zao, lakini kwa Tanzania wanapewa vibali vya uwekezaji bila vigezo muhimu kuzingatiwa. Hii ni baada ya yeye kukutana na wa south Africa, wasio na chakula wala hela katikati ya pori huku wakitaka kusafiri ndani ya mbuga ya wanyama ya serengeti.

Changamoto kwa Mashaka:
Hacha longolongo, bila hawa wazungu usingenunua bidhaa bei rahisi wala usingepanda ndege kuja Tanzania. Wewe nawe njoo tanzania uwekeze badala ya kutumwagia upupu na vitendo sifuri. Nawe ni ***** kwa kuwa kibaraka wa wamarekani

Wewe John Mashaka, ni kijana makini mno, tena mzalendo sana. Yule hawezi kuingia kwenye TV bila kuwa na sababu za msingi. Wewe ndiye unayepindisha mada yake bwana. Wabongo kwa kuchonga, hacheni zenu. mimi mashaka john namwamini sana kwenye mambo ya uchumi.
 
john mashaka akihojiwa na televisheni ya itv, asema wazungu wengi wanaokuja kwa vigezo vya uwekezaji wanaweza kuwa hatari kwa usalama wa nchi na uchumi wake, kwani wengi wanakuwa hawaeleweki taalum zao, lakini kwa tanzania wanapewa vibali vya uwekezaji bila vigezo muhimu kuzingatiwa. Hii ni baada ya yeye kukutana na wa south africa, wasio na chakula wala hela katikati ya pori huku wakitaka kusafiri ndani ya mbuga ya wanyama ya serengeti.

Changamoto kwa mashaka:
Hacha longolongo, bila hawa wazungu usingenunua bidhaa bei rahisi wala usingepanda ndege kuja tanzania. Wewe nawe njoo tanzania uwekeze badala ya kutumwagia upupu na vitendo sifuri. Nawe ni ***** kwa kuwa kibaraka wa wamarekani

think big!
 
John Mashaka akihojiwa na televisheni ya ITV, asema wazungu wengi wanaokuja kwa vigezo vya uwekezaji wanaweza kuwa hatari kwa usalama wa nchi na uchumi wake, kwani wengi wanakuwa hawaeleweki taalum zao, lakini kwa Tanzania wanapewa vibali vya uwekezaji bila vigezo muhimu kuzingatiwa. Hii ni baada ya yeye kukutana na wa south Africa, wasio na chakula wala hela katikati ya pori huku wakitaka kusafiri ndani ya mbuga ya wanyama ya serengeti.

Changamoto kwa Mashaka:
Hacha longolongo, bila hawa wazungu usingenunua bidhaa bei rahisi wala usingepanda ndege kuja Tanzania. Wewe nawe njoo tanzania uwekeze badala ya kutumwagia upupu na vitendo sifuri. Nawe ni ***** kwa kuwa kibaraka wa wamarekani

Ni kweli, wawekezaji wengi bongo ni wawekezaji uchwara tu. Ni hatari sana kwa taifa letu.
 
Mpumbavu kweli wewe FISADI ORIGINAL! Full upupu tu hapa! Pua kama kona ya sambusa...
 
Mpumbavu kweli wewe FISADI ORIGINAL! Full upupu tu hapa! Pua kama kona ya sambusa...

John Mashaka ni fisadi anayetayarishwa na system. Wawekezaji wamesaidia sana hili taifa, yeye ni kibaralaka wa wamarekani kazi ni kuwaponda wachina.
 
Pumbavu tu huyu mashaka, tatizo ni wivu unamsumbua.
 
John Mashaka akihojiwa na televisheni ya ITV, asema wazungu wengi wanaokuja kwa vigezo vya uwekezaji wanaweza kuwa hatari kwa usalama wa nchi na uchumi wake, kwani wengi wanakuwa hawaeleweki taalum zao, lakini kwa Tanzania wanapewa vibali vya uwekezaji bila vigezo muhimu kuzingatiwa. Hii ni baada ya yeye kukutana na wa south Africa, wasio na chakula wala hela katikati ya pori huku wakitaka kusafiri ndani ya mbuga ya wanyama ya serengeti.

Changamoto kwa Mashaka:
Hacha longolongo, bila hawa wazungu usingenunua bidhaa bei rahisi wala usingepanda ndege kuja Tanzania. Wewe nawe njoo tanzania uwekeze badala ya kutumwagia upupu na vitendo sifuri. Nawe ni ***** kwa kuwa kibaraka wa wamarekani


mashaka simfagirii lakini najua ni kichwa. he is brilliant for sure
 
Back
Top Bottom