John Magufuli aunda rasmi mtandao kuisaka ikulu

John Magufuli aunda rasmi mtandao kuisaka ikulu

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
12,289
Reaction score
38,942
Hatimaye mgombea urais kwa tiketi ya CCM John Magufuli ameunda rasmi mtandao wake kuisaka ikulu, nimethibitisha.

Mtandao huo unajumuisha watu mbalimbali ambao ni makada wa CCM walioahidiwa vyeo ili kupiga kampeni kufa kupona John Magufuli aweze kwenda ikulu. Ifuatayo ni orodha rasmi ya mtandao huo.
1) Waziri mkuu - William Lukuvi
2) Spika wa bunge - Samwel Sitta

Wapo walioahidiwa uwaziri kama January Makamba, Angela Kairuki, Asharose, Mwakyembe, Mwantumu Mahiza, Umi Mwalimu (Kati ya hao Kairuki, Mwantumu Mahiza na Mwalimu watapewa ubunge wa kuteuliwa.

Pia watakaoula kwenye ubunge wa kuteuliwa ni Benard Membe ambaye anatarajiwa kuwa waziri na Paul Makonda.

Aidha nimedokezwa kuwa Prof. Ibrahim Lipumba amependekezwa kuwa mshauri wa Magufuli kuhusu mambo ya kiuchumi huku Willbrod Slaa akizawadiwa ubalozi wa Tanzania nchini Finland.

Katika hatua nyingine nimedokezwa pia kuwa Lowassa amempendekeza Prof. Lipumba kuwa mbunge wa kuteuliwa na baadaye waziri wake wa fedha ikiwa atafanikiwa kuingia ikulu!
 
membe again? they cant b serios..ss hapo magufuli ndio tunachosema ww unataka uingie ikulu kuendeleza utawala wa mkwere..
 
..ila hiyo aya ya mwisho tena mbn umen'changanya.!
 
Kweli Lowassa hana roho mbaya bado anamkumbuka Lipumba. Naomba asimsahau na Slaa katika ufalme wake
 
hapo kwa lipumba kuwa waziri wa lowassa ni uzushi. labda ilikuwa ni kabla ya mapumba kuhongwa billioni 3.5 ili kuuhujumu ukawa
 
Kama ni kweli, basi kidogokidogo anaanza kupoteza uelekeo kabla hajashindwa. Alipokuwa anatuhaidi mambo kama yeye Dr. Magufuli, nilikuwa namuelewa zaidi kuliko atakapo simama na team yake kama CCM.
 
Lowassa kampendekeza lipumba kuwa waziri wa fedha??...naamini leo sio sikukuu ya wajinga
 
huyu lowasa huyu....hapo lipumba hakwepi...
 
Wajameni tuoneeni huruma na hizo propaganda zenu zisizoisha. Leo ni Jumamosi (siku ya Sabato) angalau acheni tupumue kidogo. Endeleeni tena Jumatatu. Magufuli Lowassa: Lowassa Magufuli kila wakati. Hamchoki?
 
Unajitekenya na kucheka mwenyewe. Naona mapigo ya Magufuli yamekuchachafya na kukuacha ndembendembe
 
Majimarefu kwa nini kaachwa?natabiri muendelezo wa mapambano ndani ya Ccm kati ya watakaonyimwa nafasi NA waliopata mpaka serikali ikwame
 
Hatimaye mgombea urais kwa tiketi ya CCM John Magufuli ameunda rasmi mtandao wake kuisaka ikulu, nimethibitisha.

Mtandao huo unajumuisha watu mbalimbali ambao ni makada wa CCM walioahidiwa vyeo ili kupiga kampeni kufa kupona John Magufuli aweze kwenda ikulu. Ifuatayo ni orodha rasmi ya mtandao huo.
1) Waziri mkuu - William Lukuvi
2) Spika wa bunge - Samwel Sitta

Wapo walioahidiwa uwaziri kama January Makamba, Angela Kairuki, Asharose, Mwakyembe, Mwantumu Mahiza, Umi Mwalimu (Kati ya hao Kairuki, Mwantumu Mahiza na Mwalimu watapewa ubunge wa kuteuliwa.

Pia watakaoula kwenye ubunge wa kuteuliwa ni Benard Membe ambaye anatarajiwa kuwa waziri na Paul Makonda.

Aidha nimedokezwa kuwa Prof. Ibrahim Lipumba amependekezwa kuwa mshauri wa Magufuli kuhusu mambo ya kiuchumi huku Willbrod Slaa akizawadiwa ubalozi wa Tanzania nchini Finland.

Katika hatua nyingine nimedokezwa pia kuwa Lowassa amempendekeza Prof. Lipumba kuwa mbunge wa kuteuliwa na baadaye waziri wake wa fedha ikiwa atafanikiwa kuingia ikulu!

hizi mada za kuota mchana zitakuja kuwatokea puani
 
hao wanaomtukana babu slaa,wanaweza shitukia ndo waziri wa mambo ya ndani wa ukawa iwapo itashinda.....siasa hazitabiriki,ndo maana hataki kuachia kadi za vyama
 
Back
Top Bottom