Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,650
- 20,994
Jamaa alikuwa anamdai mwenzie laki tano lakini kukawa na kukwepana kwenye kulipa , akaona aende kwa mwanasheria; JAMAA: Jirani yangu namdai laki tano inaonekana anataka kukwepa kulipa nifanyeje? MWANASHERIA: Una ushahidi? JAMAA: Kwa kweli sina tulipeana kindugu hatukuandikishana MWANASHERIA: Basi muandike barua mdai shilingi milioni moja yako JAMAA: Lakini namdai laki tano tu MWANASHERIA: Haswa, tunachotaka arekibishe hilo kimaandishi ili tuwe na ushahidi toka kwake mwenyewe