Magembe R. Malima
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 233
- 214
Mmenikumbusha na mwandishi wa hadithi Eddy Ganzel ((RIP)
Baada ya Kaduma kutoka Sani alikwenda Bongo ambapo nakumbuka hadithi ya maneno ilikuwa imetungwa na Eddie Ganzel, siikumbuki jina ila ilikuwa inahusu upelelezi juu ya kifo cha bosi mmoja aliyegongwa na gari. Dah!!