Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,428
Kama ulidhani suala la Mkataba wa milele wa DP WORLD na Bandari za Tanganyika ni la mjini pekee basi umebugi.
Huko Nyamongo , leo umefanyika mkutano kabambe wa hadhara wenye lengo moja tu kwa ajili ya kuwaeleza wananchi kuhusu ubovu wa Mkataba wa Bandari za Tanganyika , John Heche ndiye aliyeongoza Darasa hilo .
Hivi ndivyo ilivyokuwa.
Huko Nyamongo , leo umefanyika mkutano kabambe wa hadhara wenye lengo moja tu kwa ajili ya kuwaeleza wananchi kuhusu ubovu wa Mkataba wa Bandari za Tanganyika , John Heche ndiye aliyeongoza Darasa hilo .
Hivi ndivyo ilivyokuwa.