mzungu poli
Senior Member
- Jan 20, 2017
- 171
- 66
Matumbo ndio shida anapozwa account ikituna anatulia na nfio itakavyokua trust me.Kusema ukweli Jamaa Yupo Sahihi... Kama kweli mumedhamiria kuzuia inakuwaje Mnazuia Mchanga ila Ndege kutua Kule Mgodini na Kuchukua dhahabu mnaruhusu? Tena na kampuni hiyo hiyo mnayosema haijasajiliwa halafu bado inaruhusiwa kuendelea na Uchimbaji na kufanya shughuli ilihali haina legal Identification.
Kwani Acacia wao wanahusiaka na Mchanga Tu.....
He is right... Naanza kumuelewa Zitto Kabwe kuwa Kila Rais aliyewahi kuiongoza Nchi hii alishaunda Tume ya Madini katika Kipindi chake Lakini Hakuna Kinachoendelea utadhani wanaongoza Nchi Tofauti...
Fuatilia Kuanzia MKapa Tume Iliundwa, Mwinyi Tume Ilundwa, Kikwete Tume Iliundwa na Leo Hii Tume Zimeundwa.. Ni Mahitimisho ya Tume Zote hizo?
This is entrance strategy ya Viongozi wetu au...