John Heche naye kanunua cheti??

Thegame

JF-Expert Member
Oct 14, 2011
2,273
2,388
Wakuu suala la vyeti naona Ni tatizo kubwa kwa viongozi wetu wengi!
Sio wa chama tawala tu bali hata wa upinzani pia!
Kuna tetesi Kama zile zile zinazomuandama mkuu wa mkoa wa Dar Es salaam, mh Paul Makonda Na zilizomuandama waziri wa mambo ya ndani Mh Mwigulu, sasa tuhuma zinahamia upande wa wana siasa wa vyama vya upinzani, Na muhanga wa kwanza Ni Mh John Heche ambaye inasemekana jina lake halisi Ni Wegesa Charles lakini naye Kama hao wenzake, alibadilisha gia angani hadi akaitwa John Heche!!
 
Wakuu suala la vyeti naona Ni tatizo kubwa kwa viongozi wetu wengi!
Sio wa chama tawala tu bali hata wa upinzani pia!
Kuna tetesi Kama zile zile zinazomuandama mkuu wa mkoa wa Dar Es salaam, mh Paul Makonda Na zilizomuandama waziri wa mambo ya ndani Mh Mwigulu, sasa tuhuma zinahamia upande wa wana siasa wa vyama vya upinzani, Na muhanga wa kwanza Ni Mh John Heche ambaye inasemekana jina lake halisi Ni Wegesa Charles lakini naye Kama hao wenzake, alibadilisha gia angani hadi akaitwa John Heche!!
Wana siasa wetu wengi Ni vihio!!!
bado hujakamatwa tuu , na bado unatumia viroba..
 
Wegesa ni Kijana la Ukoo (Wakurya tunaiita "Nduko" na Wasimbiti pamoja na Waacha tunaiita "Endukwa"). Kwa hiyi jina lake ni John Wegesa. Na jina la baba yake ni Charles Heche.


Lakini jina analotumia Kitaaluma ni John Heche!.

Tafuteni kiki nyingine, hii imebuma!
 
Wauza udanga wanahaha baada ya makonda kuwajambisha.MAKONDA WAGONGE TU MUNGU ATAKULINDA

Wegesa ni Kijana la Ukoo (Wakurya tunaiita "Nduko" na Wasimbiti pamoja na Waacha tunaiita "Endukwa"). Kwa hiyi jina lake ni John Wegesa. Na jina la baba yake ni Charles Heche.


Lakini jina analotumia Kitaaluma ni John Heche!.

Tafuteni kiki nyingine, hii imebuma!
Tata tantembilia umurisya oyo....john heche ndo jina lake ...kama ni kiki mwambie atafute jina lake sio kuja kuandika hum utumbo...ujinga mwingine wawe wanapeleka instagram kwa watot wa sekondari
 
Tata tantembilia umurisya oyo....john heche ndo jina lake ...kama ni kiki mwambie atafute kiki nyingine john heche ndo jina lake. Asikurupuke kuja kuandika hum utumbo...ujinga mwingine wawe wanapeleka instagram kwa watot wa sekondari
 
Back
Top Bottom