TUNTEMEKE
Platinum Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 581
kuna tetesi zinasema kuwa mmoja wa wagombea uenyekiti wa bavicha John heche ana umri wa miaka 30 ilhali hata mdogo wake wa damu Chacha heche naye ana niaka 30, je ni kweli kuwa hao ndugu ni mapacha ? kama siyo Chadema tuwe makin yale yale ya masauni yanaweza kuja kwetu