PreGE2025 John Heche: John Mrema amekimbia na Akaunti za YouTube na X za Chama, tuligundua kila wiki analipwa Tsh. Milioni 3

PreGE2025 John Heche: John Mrema amekimbia na Akaunti za YouTube na X za Chama, tuligundua kila wiki analipwa Tsh. Milioni 3

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Hivi tulikuwa na watu ambao wanatusinitch!

Ndiyo maana watu walikipuuza chama kumbe sababu ya mapandikizi haya.

Msigwa alikuwa sahihi.
Alijua nani mkweli nani tapeli.
Mbowe ulitukosea sana tungeshafika mbali na dubwana hili CCm
Na bado mlisifia na kuuaminisha umma🤔
 
Hizi ni siasa,

U tube channel uwe na followers laki nne ulipwe 3 ml per week🙄

Tuache uzushi, siasa za maji taka hatuzitaki.

Heche Rudi kwa mstali🙏
Mkuu inawezekana kabisa mtu mwenye YouTube channel ya subscribers laki nne kulipwa milioni 3 kwa wiki ikiwa na deals za udhamini (sponsorships), Anapata views nyingi kutoka diaspora (CPM ya juu), Anatumia njia nyingine kama affiliate marketing, super chats, au merchandise.
 
Mkuu inawezekana kabisa mtu mwenye YouTube channel ya subscribers laki nne kulipwa milioni 3 kwa wiki ikiwa na deals za udhamini (sponsorships), Anapata views nyingi kutoka diaspora (CPM ya juu), Anatumia njia nyingine kama affiliate marketing, super chats, au merchandise.
Wasaidie ndugu zetu wabongo akili, wakishakariri mambo huko fomfoo kazi yao ni kupinga tu hawajui dunia inaendeshwa kwa akili na maarifa na kuna watu wamelala ndani tu wanakunja pesa mtandaoni wakati wakaririshwaji wapo kwa mkapa kutazama yanga na simba!
 
Inawezekana Mrema alikuwa anakula hela za Youtube ila haiwezekani iwe 3m kwa wiki. HUO NI UONGO. Heche ni mtambo wa uzushi.
 
Alikuwa anakingiwa kifua toka kwa Mzee Mbowe.
Hii inawezekana kabisa.
Nakumbua siku moja mbowwe akiwa ndani. Mtu mmoja aaliyejitambulisha toka mak
aao maakuu. Alitangaza safari ya kwenda kumuona mbowe.
Kutoka buguruni kwenda UKONGA na kurudi ilikuwa 15000/=
Ati kumuona mwamba???
 
Wasaidie ndugu zetu wabongo akili, wakishakariri mambo huko fomfoo kazi yao ni kupinga tu hawajui dunia inaendeshwa kwa akili na maarifa na kuna watu wamelala ndani tu wanakunja pesa mtandaoni wakati wakaririshwaji wapo kwa mkapa kutazama yanga na simba!
Tatizo hawasomi
 
Ndio maana naungana na wanaowaona akina Lissu ni waanzisha vurugu.

Hii nchi shida sio Viongozi tu tena viongozi wajuu tunawatolea macho shidi ni cheni nzima ya utumishi kwakuwa watumish ni raia wa Tanzania shida ipo kwa uzarendo wa watanzania wenyewe.

Hata aje nani ashike nchi atahitaji watu wakumtumikia sasa uzarendo wa watu wenyewe uko wapi??
 
Back
Top Bottom