PreGE2025 John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

PreGE2025 John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,308
Reaction score
271,629
Taarifa rasmi kutoka CHADEMA imesema kwamba Jeshi la Polisi limemkamata Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, katika eneo la Kariakoo na kumpeleka kituo cha Polisi Msimbazi.

Hata hivyo, baadaye aliondolewa kituoni hapo na kupelekwa kusikojulikana.

Viongozi kadhaa waliokwenda kituo cha Polisi Kati kufuatilia suala hilo wameelezwa kuwa Heche hajawahi kufikishwa hapo.

heche msimbazi.png


Heche akamatwa.jpeg



heche akamatwa 2.jpeg










Screenshot_2025-04-22-17-44-14-1.png

Screenshot_2025-04-22-17-44-13-1.png
 
Duh hatari! Yale ya Kiza Besigye yamehamia nchini kwetu.

Kumbe alikuwa serious aliposema:
"ukinikuna vizuri mimi nakukuna huku nakupapasa tena nakupuliza ufu ufu, ukinipara nakuparura"

Lakini anachokipanda atakivuna.
 
Back
Top Bottom