Sijui chama changu kimejipangaje kuhakikisha kila kituo kinakuwa na wakala wetu? Nimemegewa na mpenzi wangu ambaye ni mgombea ubunge kwa ma-ccm anasema mbinu wanayopanga ni kuwazuia mawakala wa CHADEMA kuingia kwenye vituo vya kupigia kura! Alikuwaga vitu maalum sasa hivi anatafuta jimbo, tujipange!!