upweke nao mchungu dia, kama hujawahi kuwa mpweke unaweza kudhani mjinga, lakini waliowahi kuwa wapweke wataheshimumawazo yake na kumuombea heri.
ya nini kuendelea kuishi na mwanamke asiyeisa vituko eti kisa ndoa? na kwanini uishi bila mwenzi wakati wakupendao na uwapendao wapo???????