KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
Nashindwa kuelewa huyu jamaa kwa nini alisema alichosema.
Aliyoyasema ni haya:
(a)Aonya vyama vya upinzani kutoihusisha CCM na ufisadi, vinginevyo amani itavurugika.
(b) Visimchafue rais Kikwete, HOW?
(c)"Tunatoa onyo la mwisho hatutakubali kuona chama kinakashifiwa, kinatukanwa na kuchezewa vinginevyo wanachama wetu wapatao milioni nne (4) wakikasirika na kuchukua hatua ya kulipiza kisiasa AMANI ITATOWEKA!!(Damn! Yaani sheria mkononi inaungwa mkono na waziri wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na mjumbe halmashauri kuu CCM)
(5) Adai CCM itakufa na mtu.,
Does this sound new to you? NO...Safari 2010 ishaaanza wazee, tusiojiweza tukaeni pembeni na kuangalia yatakayotokea!
Je kauli za Chiligati zinafaa na zinatuma ujumbe kwa taifa lililo huru kama la Tanzania ?
Aliyoyasema ni haya:
(a)Aonya vyama vya upinzani kutoihusisha CCM na ufisadi, vinginevyo amani itavurugika.
(b) Visimchafue rais Kikwete, HOW?
(c)"Tunatoa onyo la mwisho hatutakubali kuona chama kinakashifiwa, kinatukanwa na kuchezewa vinginevyo wanachama wetu wapatao milioni nne (4) wakikasirika na kuchukua hatua ya kulipiza kisiasa AMANI ITATOWEKA!!(Damn! Yaani sheria mkononi inaungwa mkono na waziri wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na mjumbe halmashauri kuu CCM)
(5) Adai CCM itakufa na mtu.,
Does this sound new to you? NO...Safari 2010 ishaaanza wazee, tusiojiweza tukaeni pembeni na kuangalia yatakayotokea!
Je kauli za Chiligati zinafaa na zinatuma ujumbe kwa taifa lililo huru kama la Tanzania ?
Last edited by a moderator: