John acha ulaghai, waambie watanzania ukweli

Bengalisis

JF-Expert Member
Jun 8, 2018
1,847
2,768
Wapendwa habari ya kutwa na poleni na miangaiko, napenda kutoa mrejesho ya kile nilichokishuhudia leo sherehe za wafanyakazi duniani(mei mosi) katika mkoa wetu tulizoea kuona zawadi nono zikitolewa na taasisi mbalimbali za umma na binafsi, lakini nilichosikitika ni kuona leo baadhi ya taasisi hazikuonekana kabisa, mfano mwaka jana nilishuhudia kampuni moja ikitoa zawadi ya million 5 kwa wafanyakazi hodari wake, na tulizoea kuona kampuni kwa kujizolea sifa za utoaji zawadi nono, lakini nimeshangaa kutowaona leo kabisa wakifanya yao, ilibidi niulize pale uwanjani ya kwamba vipi kampuni X wameshahama mkoa huu? Nikajibiwa wapo, yaani inasikitisha sana sana
 
Vyuma vimekaza huwa hamuelewi jamani angalia kama hiyo kampuni x ilivyo dorora uzalishaji kiduchu Kodi kubwa hata kama ni wewe ungefanyaje naushukuru sir God hujasimamishwa kazi bila sababu za msingi
 
Vyuma vimekaza huwa hamuelewi jamani angalia kama hiyo kampuni x ilivyo dorora uzalishaji kiduchu Kodi kubwa hata kama ni wewe ungefanyaje naushukuru sir God hujasimamishwa kazi bila sababu za msingi
Daaaaaah yaani inatafakarisha sana
 
Watu mmekuwa watu wa kulalamika sana kwanini mmekosa ata plan b za maisha..Maisha ayajawai kuwa mepesi ata kidogo kila awamu ina changamoto zake..
 
Mambo ndo kama hivi
IMG_20190501_141001_355.jpeg
 
Back
Top Bottom