johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,023
- 142,069
Kamanda Jonathan Kabuyuyu wa Chadema mkoa wa Geita ametia nia ya kugombea uspika wa bunge la JMT.
Kabuyuyu amesema nia hiyo ni provisionally akitegemea zaidi baraka za chama chake endapo kitampitisha.
Kabuyuyu ni mwanaikolojia kitaaluma.
Maendeleo hayana vyama!
Kabuyuyu amesema nia hiyo ni provisionally akitegemea zaidi baraka za chama chake endapo kitampitisha.
Kabuyuyu ni mwanaikolojia kitaaluma.
Maendeleo hayana vyama!