msindikizaji
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,763
- 2,891
mkuu nyerere alitokea wapi hadi kukalisha nchi nzima na afrika kwa ujumla
huyo alisoma mpaka uingereza... ushamba hata ulishamtoka.. sasa Daudi nasikia hata cheti hana
mkuu nyerere alitokea wapi hadi kukalisha nchi nzima na afrika kwa ujumla
ushamba ni nini mkuu, maana hata wenyeji wa dsm hapo kila siku wanakimbia mji wanapotelea vikindu na kisarawe sisi wakuja tunachukua nafasi.huyo alisoma mpaka uingereza... ushamba hata ulishamtoka.. sasa Daudi nasikia hata cheti hana
Washafeli, mwaka mzima kuhangaika na nani kasema nini ni dalili ya kifo cha mendehapo umenena, sio busara kufanya conclusion kwenye introduction
umeingia mkataba wa miaka mitano nao, acha wafanye kazi zao majungu mazuri ni 2020 kampeni zikianzaWashafeli, mwaka mzima kuhangaika na nani kasema nini ni dalili ya kifo cha mende
Mkataba waliingia na lubuva siyo mimi, time will tell kama haya ni majungu au masufuriaumeingia mkataba wa miaka mitano nao, acha wafanye kazi zao majungu mazuri ni 2020 kampeni zikianza
Umeisha changia ujue!Sichangii
Alitokea Edinburgh.mkuu nyerere alitokea wapi hadi kukalisha nchi nzima na afrika kwa ujumla