Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,112
- 4,663
Shetani uwa anatumia mbinu mbali mbali katika kuharibu mpango wa Mungu,moja ya njia ni huu mchezo wa jogging ambao ufanyika jumapili ambayo ni siku ya kwenda kanisani wewe m kristo mwenzangu una amka asubui na kujiandaa kwa jogging badala ya kwenda kanisani aya utajitetea kuwa una enda misa ya pili je unakuwa umechoka unaenda kanisani ukiwa mchomvu kwa sababu ya mazoezi amin amin jogging n mbinu ya ki shetani jiulize kwanini iwe juma pili siku ya kuabudu, shetani ameteka ufahamu wenu anawadanganya mnajenga mwili ila jua roho zenu zinakufa zina kosa rutuba wala amta punguza magonjwa kwa jogging bari mnajiongezea acha kukimbia jogging jumapili n mbinu ya kishetani