Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 968
- 1,712
Kuna kijana na Motivation Speaker ambaye pia hivi karibuni amechaguliwa kuwa Balozi wa Mtwara kwenye Chama cha Mapinduzi kutangaza vivutio na fursa zilizoko Mtwara.
Joel Nanauka amekuwa Mwamasishaji Maarufu hivi karibuni hapa nchini akitumia mitandao ya kijamii kuuza vitabu vyake.
Ningependa tumfahamu kwa undani Joel Nana Nanauka ni nani na adhma yake ni nini kwenye Jimbo la Mtwara.!
Joel Nanauka amekuwa Mwamasishaji Maarufu hivi karibuni hapa nchini akitumia mitandao ya kijamii kuuza vitabu vyake.
Ningependa tumfahamu kwa undani Joel Nana Nanauka ni nani na adhma yake ni nini kwenye Jimbo la Mtwara.!