sostenes mbwelwa
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 289
- 139
amina..usifemoyo ndugu yangu
Do not loose hope mkuu..Kabisa mkuu acha tu ngoja nikomae tatoka siku moja
Sasa kama hata ushauri hataki uta msaidia je?Nina dogo anajiona kama dunia imemuangukia mwenye balaa nimemshauri biashara hataki hata kusikia mwaka wa tano huu toka a graduate sasa hivi anamwambia mama atakunywa sumu ushauri wanajamvi
HakikaPole ndugu. Ila nakushauri uondoe imani hiyo kwamba hakuna fedheha kubwa duniani kama hiyo uliyoitaja. Zipo kubwa zaidi ya hiyo. Sema tu kwamba kila mtu anapopata tatizo au shida fulani ujikuta akiamini kuwa hakuna tatizo au shida nyingine kubwa zaidi ya hiyo aliyonayo. Na mtu huyo huyo baadae akija kupata shida nyingine kubwa ataona kuwa hiyo shida iliyopo muda huo ndiyo kubwa zaidi ya zote ikiwa ni pamoja na aliyowahi kupata huko nyuma.
Tukirudi kwenye hoja yako kikubwa ni kupuuza wale wanaokudharau, uweke juhudi katika kutafuta riziki yako bila kukata tamaa na pia kwa njia halali na zisizo za mkato. Pia kama wewe ni muumini wa uwepo wa Mungu usichoke kumwomba Mungu kwani kama ulivyokwisha sema mwenyewe ipo siku atakufungulia milango na wanaokudharau leo hii watabaki macho kodo.
Shida mnachagua kazi una degree huna uzoefu umekaa nyumbani unasubiri ajira itangazwe. Wenzio tulimaliza vyuo kwakua hatuonagi aibu bila kuchelewa tukaingia makampuni ya ulinzi kwa mishahara ya lakimbili na sabini baada ya muda tukaitwa kwenye interview za promotion tukiwa walinzi wa kawaida lakini tulikua tumeambatanisha na vyeti vyetu faster tukachukuliwa tukavua gwanda za ulinzi saizi tunapokea laki sita baada ya makato ingawaje si kikibwa sana lakini naridhika nacho maana wenzangu walionicheka mpaka sasa wanasota na mabahasha . Mdogo wangu nilimpa ujanja huo nae akaingia kwa ulinzi lindo alilo pangiwa akazoeana na boss wa pale faster kapata nafasi kaanza kula parefu zaidi yangu walio mcheka bado wanahangaika na ma interview. Na huo ujanja alinifundisha rafiki yangu yeye yupo bank ya Stanibic arusha alisota sana akaamua kuingia kwenye kazi za ulinzi aligundua kua kule kuna chance nyingi maana unaingia kulinda kwenye makampuni na mashirika tofauti hivyo inakua rahisi kujuana na wahusika maana kazi za sasa hivi 90% kujuana na undugu.hivyo kijana jichanganyeHakuna fedhea kubwa dunia kama umesoma umri unaenda afu huna kazi kila mmoja atakudharau ila naamini Mungu ni wakwetu sote wakati wangu utafika tu.
Hakuna fedhea kubwa dunia kama umesoma umri unaenda afu huna kazi kila mmoja atakudharau ila naamini Mungu ni wakwetu sote wakati wangu utafika tu.
Good spiritShida mnachagua kazi una degree huna uzoefu umekaa nyumbani unasubiri ajira itangazwe. Wenzio tulimaliza vyuo kwakua hatuonagi aibu bila kuchelewa tukaingia makampuni ya ulinzi kwa mishahara ya lakimbili na sabini baada ya muda tukaitwa kwenye interview za promotion tukiwa walinzi wa kawaida lakini tulikua tumeambatanisha na vyeti vyetu faster tukachukuliwa tukavua gwanda za ulinzi saizi tunapokea laki sita baada ya makato ingawaje si kikibwa sana lakini naridhika nacho maana wenzangu walionicheka mpaka sasa wanasota na mabahasha . Mdogo wangu nilimpa ujanja huo nae akaingia kwa ulinzi lindo alilo pangiwa akazoeana na boss wa pale faster kapata nafasi kaanza kula parefu zaidi yangu walio mcheka bado wanahangaika na ma interview. Na huo ujanja alinifundisha rafiki yangu yeye yupo bank ya Stanibic arusha alisota sana akaamua kuingia kwenye kazi za ulinzi aligundua kua kule kuna chance nyingi maana unaingia kulinda kwenye makampuni na mashirika tofauti hivyo inakua rahisi kujuana na wahusika maana kazi za sasa hivi 90% kujuana na undugu.hivyo kijana jichanganye