Jobless tunadhaurika sana

Jobless tunadhaurika sana

Hakuna fedhea kubwa dunia kama umesoma umri unaenda afu huna kazi kila mmoja atakudharau ila naamini Mungu ni wakwetu sote wakati wangu utafika tu.
Jipe moyo kaka ni kwa foleni
 
Tunabeba na kupakia magunia ha parachichi huku kwetu yanapelekwa dar per day tunagawana sio chini ya elfu 25 kila mtu hebu piga per month ni bei gani hiyo napata mbeba magunia sina haja ya kuajiriwa mie, magunia yakikata napanda mlima (kilimanjaro)
Usisahau kuweka pembeni pesa ya matibabu ya mgongo pindi utakapoanza kuingua uzeeni(umri wa utu uzima).
 
Ndo napambana angalau nipate maana hii dhana ya kujiarii wakati mazingira sio rafiki yanachanganya sana
Mazingira ni rafiki sana nchi hii,wapi utatembea bila kitambulisho toka kyaka mpaka mikindani?unaujuzi gani labda kama hutajali lakini.
 
Hakuna fedhea kubwa dunia kama umesoma umri unaenda afu huna kazi kila mmoja atakudharau ila naamini Mungu ni wakwetu sote wakati wangu utafika tu.
tunasthili kudhalaurika kwa tunaishi kama parasite; hila sababu kubwa ni kutoandaliwa kupambana sawasawa na mazingira baada ya masomo, sera mbovu za ajira tanzania, kukosa watu wenye uwezo wa ku-create job opotunities katika sirikali, umaskini wa nchi( kutokana na ubinasfi/ufisadi wa baadhi yaa leaders)
kutoirasmisha au itambuasupport sekta isiyo rasmi
kutokuwa na uchumi shirikishi wa kitaifa b'se sera hubadilika afta uchaguzi (sera mbovu) za kisiasa
 
tunasthili kudhalaurika kwa tunaishi kama parasite; hila sababu kubwa ni kutoandaliwa kupambana sawasawa na mazingira baada ya masomo, sera mbovu za ajira tanzania, kukosa watu wenye uwezo wa ku-create job opotunities katika sirikali, umaskini wa nchi( kutokana na ubinasfi/ufisadi wa baadhi yaa leaders)
kutoirasmisha au itambuasupport sekta isiyo rasmi
kutokuwa na uchumi shirikishi wa kitaifa b'se sera hubadilika afta uchaguzi (sera mbovu) za kisiasa
Mkuu umesema
 
Hakuna fedhea kubwa dunia kama umesoma umri unaenda afu huna kazi kila mmoja atakudharau ila naamini Mungu ni wakwetu sote wakati wangu utafika tu.
Utafika mkuu c mbali utashuhudia
 
Nina dogo anajiona kama dunia imemuangukia mwenye balaa nimemshauri biashara hataki hata kusikia mwaka wa tano huu toka a graduate sasa hivi anamwambia mama atakunywa sumu ushauri wanajamvi
 
Nina dogo anajiona kama dunia imemuangukia mwenye balaa nimemshauri biashara hataki hata kusikia mwaka wa tano huu toka a graduate sasa hivi anamwambia mama atakunywa sumu ushauri wanajamvi
Hatua mbaya kama mtaji wa kufanya Biashara upo muhimize afanye hivyo binafsi mtaji tatizo
 
Usisahau kuweka pembeni pesa ya matibabu ya mgongo pindi utakapoanza kuingua uzeeni(umri wa utu uzima).
Wala hiyo sio shida coz the same applies kwa wale wanaokaa kwa muda mrefu lazima kuna matatizo baadae ie uti wa mgongo so kuajiriwa haswa white collar jobs kukaa ofisini muda mrefu
But point ya msingi hapa ni kwamba sio lazima mgongo utasumbua na hilo lipo wapo watu wamebeba gunia kitambo walotufundisha sie sasa hivi umri umeenda lakini wako strong bado
 
Back
Top Bottom