Jobless tunadhaurika sana

Jobless tunadhaurika sana

Endelea kusubiri kazi toka ktk karatasi ulizoweka ktk mfuko wa kaki uliopo ktk droo ya kabati chumbani kwako uone kama umuri unasubra. Akili yako yote imefungwa ktk kuajiriwa, kuajiriwa ndio plan A yako vipi plan B?
Mkuu Hakika utakua msaada tosha wa plan b maana kila kitu kinagoma
 
Hakuna fedhea kubwa dunia kama Umesoma Umri Unaenda afu huna kazi kila mmoja atakudharau ila naamini Mungu ni wakwetu sote wakati wangu utafika tu
Pole ndugu. Ila nakushauri uondoe imani hiyo kwamba hakuna fedheha kubwa duniani kama hiyo uliyoitaja. Zipo kubwa zaidi ya hiyo. Sema tu kwamba kila mtu anapopata tatizo au shida fulani ujikuta akiamini kuwa hakuna tatizo au shida nyingine kubwa zaidi ya hiyo aliyonayo. Na mtu huyo huyo baadae akija kupata shida nyingine kubwa ataona kuwa hiyo shida iliyopo muda huo ndiyo kubwa zaidi ya zote ikiwa ni pamoja na aliyowahi kupata huko nyuma.

Tukirudi kwenye hoja yako kikubwa ni kupuuza wale wanaokudharau, uweke juhudi katika kutafuta riziki yako bila kukata tamaa na pia kwa njia halali na zisizo za mkato. Pia kama wewe ni muumini wa uwepo wa Mungu usichoke kumwomba Mungu kwani kama ulivyokwisha sema mwenyewe ipo siku atakufungulia milango na wanaokudharau leo hii watabaki macho kodo.
 
Pole ndugu. Ila nakushauri uondoe imani hiyo kwamba hakuna fedheha kubwa duniani kama hiyo uliyoitaja. Zipo kubwa zaidi ya hiyo. Sema tu kwamba kila mtu anapopata tatizo au shida fulani ujikuta akiamini kuwa hakuna tatizo au shida nyingine kubwa zaidi ya hiyo aliyonayo. Na mtu huyo huyo baadae akija kupata shida nyingine kubwa ataona kuwa hiyo shida iliyopo muda huo ndiyo kubwa zaidi ya zote ikiwa ni pamoja na aliyowahi kupata huko nyuma.

Tukirudi kwenye hoja yako kikubwa ni kupuuza wale wanaokudharau, uweke juhudi katika kutafuta riziki yako bila kukata tamaa na pia kwa njia halali na zisizo za mkato. Pia kama wewe ni muumini wa uwepo wa Mungu usichoke kumwomba Mungu kwani kama ulivyokwisha sema mwenyewe ipo siku atakufungulia milango na wanaokudharau leo hii watabaki macho kodo.
Mkuu ujumbe wako umeniingia vizuri taufanyia kazi na umenitia nguvu sana
 
Hakuna fedhea kubwa dunia kama Umesoma Umri Unaenda afu huna kazi kila mmoja atakudharau ila naamini Mungu ni wakwetu sote wakati wangu utafika tu
Pole sana!Na hapo ndiyo udhaifu wa elimu tuliyo nayo unapoonekana!Elimu inawaaminisha kuwa mafanikio au heshima inapatikana kwa kuwa na kazi ya kuajiriwa kitu ambacho si kweli!Kwa maana yako siku utakapomuona profesa naye kapanga foleni benki akiomba mkopo ili aweze hata kununua gari,unaweza kumshangaa!
 
Pole sana!Na hapo ndiyo udhaifu wa elimu tuliyo nayo unapoonekana!Elimu inawaaminisha kuwa mafanikio au heshima inapatikana kwa kuwa na kazi ya kuajiriwa kitu ambacho si kweli!Kwa maana yako siku utakapomuona profesa naye kapanga foleni benki akiomba mkopo ili aweze hata kununua gari,unaweza kumshangaa!
Asante mkuu mtu unajaribu kila aina ya mbinu kujikwamua lakini wapi bado ukiangalia Watu wanaokuzunguka wanakuongezea machungu tu kama binadamu yataka moyo
 
Asante mkuu mtu unajaribu kila aina ya mbinu kujikwamua lakini wapi bado ukiangalia Watu wanaokuzunguka wanakuongezea machungu tu kama binadamu yataka moyo
Hupaswi kukata tamaa!Tatizo ni kwamba elimu yetu inawaaminisha wanafunzi kuwa nje ya kuajiriwa hakuna maisha!KITU AMBACHO SI SAHIHI!KAZI YA KUAJIRIWA INATATUA MATATIZO FULANI LAKINI INATOKEZA MATATIZO MENGINE!KINACHOKUSUMBUA SIYO KUKOSA KAZI YA KUAJIRIWA BALI NI MADHARA YA IMANI AMBAYO ELIMU YAKO ILIKUJENGEA!!!WENGI WAMEATHIRIWA.RAFIKI YANGU NAYE AMEKONDA KABISA KWA KUSUBIRIA KILA SIKU AJIRA ZITANGAZWE SERIKALINI,HII NI HATARI.KUNA MENGI UNAWEZA KUFANYA.
 
...mesoma Umri Unaenda afu huna kazi kila mmoja atakudharau ila naamini Mungu ni wakwetu sote wakati wangu utafika tu

Ni fedheha indeed. Tatizo elimu yetu imetupumbaza na kutufanya tuwaze "kuajiriwa tu". Hata mtu aliyesomea say "project planning, monitoring and evaluation" nae anashindwa ku"plan" hata kaproject kake kadogo tu.

Kwa kasi hii ya Baba J inabidi tuanze sasa kuwaza kujiajiri wenyewe ili heshima irudi maana chances za kuajirika kwenye sekta zote zinazidi kusinya kila iitwapo leo.
 
Ni fedheha indeed. Tatizo elimu yetu imetupumbaza na kutufanya tuwaze "kuajiriwa tu". Hata mtu aliyesomea say "project planning, monitoring and evaluation" nae anashindwa ku"plan" hata kaproject kake kadogo tu.

Kwa kasi hii ya Baba J inabidi tuanze sasa kuwaza kujiajiri wenyewe ili heshima irudi maana chances za kuajirika kwenye sekta zote zinazidi kusinya kila iitwapo leo.
Hakika elimu imetudumaza hata kujiari mitaji hakuna
 
Hakika elimu imetudumaza hata kujiari mitaji hakuna

Mitaji ni excuse tu mkuu. Hata mbuzi hujikuna kwa urefu wa kamba yake. Kama huna hata laki 5, hupaswi kuwaza business investment ya milioni 10. Tatizo tunaona "aibu" kufikiria/kuanza na business ambazo unaweza kuzibrand kuwa ni za aibu/ndogo/zisizo na hadhi etc hasa pale tunapofikiria elimu zetu za darasani.

Kuna dada mmoja anakujaga kuuza matunda ofisini kwetu. Very determined and committed na ana degree. She is making some good money and making steady progress towards her goal. Huyu hakuhitaji "mtaji" mkubwa. She saw an opportunity and took it.
 
Hakika elimu imetudumaza hata kujiari mitaji hakuna
Hapo tena,ndipo elimu hii inapoonekana haina maana!Wasomi wanaaminishwa kuwa mtaji ni pesa tu!HIYO SIYO KWELI HATA KIDOGO!MTAJI UNATIA NDANI PIA NGUVU ULIZONAZO NA MUDA UNAOTUMIA!!INAMAANA NA HIVYO VITU VIWILI HAUNA????
 
Ni fedheha indeed. Tatizo elimu yetu imetupumbaza na kutufanya tuwaze "kuajiriwa tu". Hata mtu aliyesomea say "project planning, monitoring and evaluation" nae anashindwa ku"plan" hata kaproject kake kadogo tu.

Kwa kasi hii ya Baba J inabidi tuanze sasa kuwaza kujiajiri wenyewe ili heshima irudi maana chances za kuajirika kwenye sekta zote zinazidi kusinya kila iitwapo leo.
Mimi nataka kuacha kazi mkuu.,kuajiriwa ni umaskini Mara 1000
 
Ni fedheha indeed. Tatizo elimu yetu imetupumbaza na kutufanya tuwaze "kuajiriwa tu". Hata mtu aliyesomea say "project planning, monitoring and evaluation" nae anashindwa ku"plan" hata kaproject kake kadogo tu.

Kwa kasi hii ya Baba J inabidi tuanze sasa kuwaza kujiajiri wenyewe ili heshima irudi maana chances za kuajirika kwenye sekta zote zinazidi kusinya kila iitwapo leo.
Mimi nataka kuacha kazi mkuu.,kuajiriwa ni umaskini Mara 1000
 
Shida ni kwamba tumesomea kuajiriwa ukiona hivo think critically what you can do from scratch while you're searching for that job!!!
 
Back
Top Bottom