Wana Jf kwenye taarifa ya habari saa mbili usiku jana, mtangazaji wa star tv alisema Jumapili tarehe 15.09.2013 kwenye kipindi cha tuongee asubuhi watakuwa na naibu spika Job Ndugai.
Hakusema majina yawashiriki wengine watakaokuwepo kwenye kipindi hicho, walahakusema mada itakayozungumziwa.
Nina hakika suala la mswada wa sheria ambao ulileta sintofahamu bungeni hataweza kuuepuka kuuzungumzia.
Nimeona niwape taarifa hii maana kuna wakati wa kupiga simu na kuuliza maswali.
Nawashukuru sana.
Hakusema majina yawashiriki wengine watakaokuwepo kwenye kipindi hicho, walahakusema mada itakayozungumziwa.
Nina hakika suala la mswada wa sheria ambao ulileta sintofahamu bungeni hataweza kuuepuka kuuzungumzia.
Nimeona niwape taarifa hii maana kuna wakati wa kupiga simu na kuuliza maswali.
Nawashukuru sana.