Job Ndugai kauli yako Bungeni ni ishara kuwa yatosha sasa!

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,815
71,262
Jana umesimama na kugeuka kuwa Spika wa Kweli kwa kumtolea uvivu Waziri Mwijage na Serikali kwa ujumla juu ya majibu yake kuhusu sukari na mengineyo.

Umeiambia serikali iache tabia ya kusema uongo bungeni, kuleta blabla na mipasho katika masuala muhimu ya wananchi kwani wanakuweka pabaya (nadhani katika kuwa support) na hivyo waache kabisa.

Hii ni wazi kuwa baada ya kipindi kirefu cha kutumika wewe na chombo chako Bunge na huu utawala hatimae umeujua ukweli na sasa hutaki tena.

Nadhani tutegemee kumuona CJ Pro. Juma naye akionya hadharani kuhusu kuingiliwa anga zake na Executive. Hakika ikifika hapo na kama hautarudi nyuma ni wazi Bunge na Mahakama vitarudi kuwa vyombo vya kuheshimika na nchi itashuhudia utawala bora.

Kwani ukiwa na msimamo huo nanihii atakufanya nini? Kama ya Lisu hawezi kurudia tena!
 
Jana umesimama na kugeuka kuwa Spika wa Kweli kwa kumtolea uvivu Waziri Mwijage na serikali kwa ujumla juu ya majibu yake kuhusu sukari na mengineyo.
Umeiambia serikali iache tabia ya kusema uongo bungeni, kuleta blabla na mipasho katika masuala muhimu ya wananchi kwani wanakuweka pabaya (nadhani katika kuwa support) na hivyo waache kabisa.
Hii ni wazi kuwa baada ya kipindi kirefu cha kutumika wewe na chombo chako Bunge na huu utawala hatimae umeujua ukweli na sasa hutaki tena.
Nadhani tutegemee kumuona CJ Pro. Juma naye akionya hadharani kuhusu kuingiliwa anga zake na Executive. Hakika ikifika hapo na kama hautarudi nyuma ni wazi Bunge na Mahakama vitarudi kuwa vyombo vya kuheshimika na nchi itashuhudia utawala bora.
Kwani ukiwa na msimamo huo nanihii atakufanya nini? Kama ya Lisu hawezi kurudia tena!

Unamjua Ndugai au unamsikia tu!! Utarudi tena hapa kulia
 
Jana umesimama na kugeuka kuwa Spika wa Kweli kwa kumtolea uvivu Waziri Mwijage na serikali kwa ujumla juu ya majibu yake kuhusu sukari na mengineyo.
Umeiambia serikali iache tabia ya kusema uongo bungeni, kuleta blabla na mipasho katika masuala muhimu ya wananchi kwani wanakuweka pabaya (nadhani katika kuwa support) na hivyo waache kabisa.
Hii ni wazi kuwa baada ya kipindi kirefu cha kutumika wewe na chombo chako Bunge na huu utawala hatimae umeujua ukweli na sasa hutaki tena.
Nadhani tutegemee kumuona CJ Pro. Juma naye akionya hadharani kuhusu kuingiliwa anga zake na Executive. Hakika ikifika hapo na kama hautarudi nyuma ni wazi Bunge na Mahakama vitarudi kuwa vyombo vya kuheshimika na nchi itashuhudia utawala bora.
Kwani ukiwa na msimamo huo nanihii atakufanya nini? Kama ya Lisu hawezi kurudia tena!



Lkn J.Ndugai bado ni Spika, Mbunge na Mwanachama wa CCM na siyo wa chadema!
 
Back
Top Bottom