Natanguliza heshima kwa wakubwa wng. Hivi karibuni ziliyangazwa nafasi za kujiunga na Jeshi la Kujenga taifa Sasa kama kawaida nikawajulisha wadogo zangu wafanye application cha ajabu ni kwamba zile interview ni magumashi kwani vijana wenye sifa wanaachwa na wenye mikono mirefu wanapita. Inauma sana kwani dogo alikuwa na sifa za ziada tofauti na elimu ya kidato cha nne mfano ana level 1 hadi 3 ya umeme na driving lkn ndo ivo kakosa. Dah nimeumia xna.
Natanguliza heshima kwa wakubwa wng. Hivi karibuni ziliyangazwa nafasi za kujiunga na Jeshi la Kujenga taifa Sasa kama kawaida nikawajulisha wadogo zangu wafanye application cha ajabu ni kwamba zile interview ni magumashi kwani vijana wenye sifa wanaachwa na wenye mikono mirefu wanapita. Inauma sana kwani dogo alikuwa na sifa za ziada tofauti na elimu ya kidato cha nne mfano ana level 1 hadi 3 ya umeme na driving lkn ndo ivo kakosa. Dah nimeumia xna.
kama unajua anasifa ungemfanyia wewe mwenyewe au fungua mashitaka na siyo kuja kulalamika huwezi kuleta ujuaji kwenye kazi za watu kwani sifa za ziada ndio nini umeambiwa na nani kuwa kule wanatengea umeme
swala la kuajili mtu mwenye ujuzi wa ziada ni suala la mwajili na inategemea mahitaji yake
Kuripot mwez wa 3 ila hakuna lisilowezekana tafuta wadau mkuu mshauri wa mgambo wilaya ndo wakula nae mchongo!msafwa mwenzangu nisaidie wanaripot Lin?