Kama masharti ni
Masharti ya Kujiunga na JKT kwa vijana wa Kujitolea
Kijana kabla ya kujiunga na JKT hutakiwa kuyajua masharti na kuzifahamu taratibu za kujiunga na kuelewa kuwa JKT halitoi ajira.
Moja ya kipengele cha masharti ya kujiunga na JKT kinasema kuwa ‘Kwa kipindi chote nitakachokua ndani ya Jeshi la Kujenga Taifa nitakuwa nafanya mafunzo ya kijeshi na ya stadi za kazi na maisha, na baada ya mkataba nitarejea nyumbani. Hivyo sitalidai Jeshi la Kujenga Taifa ajira, wala kulitaka linitafutie ajira/kazi'.
Wakati wa kujiunga ulikubaliana Sharti hili Leo hii uandamane kudai ajira kwa maandamano? Kuhusu vifaa na capital hao wanaomaliza SUA UDSM VETA na vyuo vingine waandamane kudai mitaji na kuajiriwa na serikali?