JKT: Mchezo wa ndama utaamsha madume

JKT: Mchezo wa ndama utaamsha madume

Chondechonde watumie vema kodi zetu wananchi ambazo walitumia kambin hawa vjana.
 
Jwtz wanaitarajia iajili vijana kutoka jkt, kutu ambacho hawakifanyi kwa sasa kwani wanaajili nje ya jkt na mbaya zaidi nafasi hizo huuzwa kwa wenye pesa au huwapa ndugu zao.

Halafu watu wanadhani hao vijana haya yanayofanyika hawayajui. Ni suala la hatari sana kuwadanganya vijana mtawapa ajira kwa malengo ya kisiasa, kwani mtakaposhindwa mtazua balaa.
Lingine, ningeishauri serikali kuwa, kwenye jambo zito kama hili huyo Kamishna wa Polisi Kova asilisemee kabisa. Huyo hana uwezo wa kuweka mambo sawa zaidi ya kuyakoroga kutokana na uwezo wake kiakili. Aliyemsikia jana ataelewa nasema nini.
 
Hawa vijana ni mburukenge kabisa..hivi nani aliwaambia wakienda JKT serikali itawapa ajira?


Walikuwa wanatumiwa na serikali ya CCM ili kuipigia kura katika chaguzi mbalimbali.

na kweli walifanya hivyo na kuipatia CCM ushindi. Mfano ni huko Zanzbar.

Bado na Askari Polisi wanaotumiwa na Serikali kuwapiga na kuwajeruhi wananchi wasio na hatia wala silaha kwa maslahi ya wanasiasa. Mfano maandamano ya wafuasi wa vyama vya Upinzani, na maandamano ya wanafunzi wanaodai haki zao.

Askari na Mwangosi.JPG

View attachment 229251


Kwa tukio hli ni fundisho hata na wale wengine wanaotumika kisiasa, waelewe kuwa CCM ni wajanja na mabingwa wa kurubuni.

WAJINGA NDIO WALIWAO...........



MIZAMBWA
INANIUMA ANA!!!
 
Pengine pia ni muda mwafaka kuangalia mafunzo haya yanavyoendeshwa ili kukidhi kipindi kilichopo. Kukazana tu kuwa wanafundishwa uzalendo hakutoshi, binafsi nafikiri uzalendo haufundishwi kwa miezi sita au mwaka mmoja. Gazeti la Mwananchi linaonyesha kuwa maombi ya vijana kuonana na rais yanapotoshwa. Nia kubwa si kupatiwa ajira. Pengine watueleze hasa ni nini kinataka kuwapeleka Ikulu.
 
Back
Top Bottom