kwa mujibu wa JKT "Moja ya kipengele cha masharti ya kujiunga na JKT kinasema kuwa Kwa kipindi chote nitakachokua ndani ya Jeshi la Kujenga Taifa nitakuwa nafanya mafunzo ya kijeshi na ya stadi za kazi na maisha, na baada ya mkataba nitarejea nyumbani. Hivyo sitalidai Jeshi la Kujenga Taifa ajira, wala kulitaka linitafutie ajira/kazi."
Kunavitu ambavyo sijavielewa na nimejaribu kupitia malengo ya uanzishwaji wa JKT ni kutoa mafunzo kwaajili ya kuajiriwa na serikali na kama ndio je ni Ajira zipi ambazo zinawafaa hawa JKT?
Kunavitu ambavyo sijavielewa na nimejaribu kupitia malengo ya uanzishwaji wa JKT ni kutoa mafunzo kwaajili ya kuajiriwa na serikali na kama ndio je ni Ajira zipi ambazo zinawafaa hawa JKT?