Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

Mohamed Abubakar

JF-Expert Member
Jun 26, 2014
767
934
Dhana ya Kuabudu

JE JUKUMU LA KUWALEA WATOTO WA DINI MBALIMBALI SAWA NA MAELEKEZO YA DINI HIZO?

Kama jukumu hilo ni la mzazi mwenyewe ji serikali ina haki ya kuwa kisababishi na kuzuia haki hiyo kutekelezwa popote ndani na nje ya taasisi za serikali.

Kama serikali haingilii dini kwanini iweke taratibu zinazozuia baadhi ya wenye dini kupractice dini zao.

Haki hiyo inatokana na katiba au ni matumizi mabaya wa tuliowapa madaraka na kuwaamini wanatenda haki bila kubagua.

Kuvaa mavazi yenye stara ktk imani ya kiislam ni ibada. Ni kuabudu.

Kuabudu si kuswali, kusali na kusifu tu.

Kuabudu ni kutekeleza kila amri ya Mungu kwa mujibu wa imani yako.

Katiba ya nchi kifungu cha 19.

Kifungu cha pili kinatoa uhuru wa kuabudu kwa kila raia.

Na ibara ya 29 - 30:5 inayozuia mtu yyt (watendaji wa serikali) kuwazuia wengine kutekeleza haki zilizoanishwa na katiba.

Kwa muhtadha wa mada hii ni KUABUDU.



19. Uhuru wa mtu kuamini dini atakayo


(1) Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, imani na uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa mtu kubadilisha dini au imani yake.
(2) Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri ya Muungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari la mtu binafsi; na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi.


Masharti ya Jumla (Ib 29-30)


29. Haki na wajibu muhimu


(5) Ili watu wote waweze kufaidi haki na uhuru vilivyotajwa na Katiba hii kila mtu ana wajibu wa kutenda na kuendesha shughuli zake kwa namna ambayo haitaingilia haki na uhuru wa watu wengine au maslahi ya umma.
30. Mipaka ya haki na Uhuru na hifadhi kwa haki na wajibu
(1) Haki na uhuru wa binadamu ambavyo misingi yake imeorodheshwa katika Katiba hii havitatumiwa na mtu mmoja kwa maana ambayo itasababisha kuingiliwa kati au kukatizwa kwa haki na uhuru wa watu wengine au maslahi ya umma.

Mwisho wa kunukuu.

Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.

Moja ya kitendo cha kudhalili, kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume kwa lazima. Nazungumzia vibukta.

Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.

Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.

Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama imara na kudai haki hii.

Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta kwa jina la serikali isiyo na dini, kwa jina la uzalendo kwanza.

Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili linafanywa kwa kwa kuwa tunaongozwa na Serikali ina itikadi ya kutokuwa na dini. Bali tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana gani kwa sisi wananchi.

Je serikali unalengo la kuwadhibiti wananchi wenye dini au lengo la serikali ni kutulinda bila kubagua yeyote.?

Katika hali halisi yaonyesha Serikali imeamua kudhibiti baadhi ya imani kwa kuwavua baadhi ya Watanzania imani za dini zao na kuwalazimisha kufata imani ya kipagani.

Kazi ya serikali yyt duniani ni kuwalinda raia wake. Kulinda ardhi zao, mila na tamaduni zao. Na inapotokea jamii fulani ina mila potofu serikali hufanya kampeni za kuwashawishi raia waondokane na mila hizo.

Tunaomba serikali au watendaji wa serikali watufafanunue je ibada hii kwa wasichana wa kiislam kuvaa unifomu yenye stara ni mila potofu kwa serikali isiyo na dini (kipagani).

Kinyume chake sisi kama sehemu ya jamii inayounda Tanzania tunaamini Serikali imekuwa kuvunja katiba kwa kutowaruhusu mabinti wa kiislam kuvaa uniform zinazikidhi uhitaji wao wa kuabudu.

Katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna Sheria za JKT zinazowataka wasichana kuvaa vibukta, ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.

Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya Chama Cha Mapinduzi tuliowaamini watekeleza mahitaji na matakwa yetu sisi wananchi tuliowachagua. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani walizonazo ambazo zinatuathiri sisi na haziathiri imani zao binafsi.

Kwa miaka mingi sasa JKT imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.

Kwani JKT ni moja ya taasisi za umma inayoendeshwa kwa maamuzi binafsi ya wafanya maamuzi. Jambo hili halikubaliki.

Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea kutokana na sababu za kihistoria ambapo waislam ni asilimia isiyozidi 10 ya wafanya maamuzi.

Kama ambavyo vijana wa kike wana uhuru wa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini katika mafunzo ya JKT wasiwe na uhuru huo.

Ni katiba,
Ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo ya jkt na wakati huo huo kuhitaji stara lkn huvuliwa stara zao kwa amri binafsi ya viongozi.

Iwapo ni masharti ya serikali (JKT) hawaoni wanaisigina Katiba inayotoa uhuru wa kuabudu na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi zenye kufata demokrasia na serikali isiyo na dini tena zenye waislam wachache wanavyowaruhusu kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo.

Tukitafakari tutagundua kuwalazimisha mabinti kuvaa vibukta si matakwa ya kisheria bali ni matamanio tu ya watendaji wa serikali wanavyotafsiri mambo sawa na imani zao binafsi.

Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu si sehemu ya Uzalendo? Hakuna manufaa yeyote zaidi ya matamanio ya nafsi.

Na huenda ni takwa na tamani la mtendaji mmoja mvuta bangi anatumia nafasi hiyo kutafuta hamu ya kuwafanya wake zao mabinti hao.

Tunawataka Watanzania waelewe hili, uhuru wa kuabudu ni misingi ya haki za binadamu.

Kwanini watz tuko wa ajabu sana linapokuja suala la kuvumiliana values zetu.

Kwanini kama watz wenye imani tofauti tulazimishwe kufata imani na values za kipagani (Ujamaa).

Kwani maandiko wanasema ujamaa ni imani.

Na kwamba Ujamaa ni upagani.

Kwanini serikali iwe na imani ambayo iwe ni lazima kwa wenye imani nyingine kuifata.

Mataifa ya kidemokrasia yanayojipambanua kusimamia haki za binadamu na uhuru wa kuabudu wameweka
Mwongozo kama huu kwa askari na walioko mafunzoni kufata ili waendelee kuwa na dini zao, wapate kuabudu na wakati huo huo wanaitumikia serikali


Hatutaki jeshi la kidini, tunataka jeshi lenye kufata katiba na kuzingatia haki na uhuru wa kuabudu huko makambini.

Kuvaa uniform zenye stara ni kuabudu kwa mabinti wa kiislam.

Nchi zinazojipambanua ni za kidemokrasia zenye serikali isiyo na dini wanalinda wenye dini. Mf Marekani, UK, SA na hata majirani zetu Malawi. Tz wenye waislam wengi kwanini wanadhibitiwa na kubaguliwa.

Kama ni kwa kutokujua basi tunaweza kujifunza kupitia waraka huu.



View: https://youtu.be/WYAUNij6meo?si=KF6MURiFhUFat7Xx

1716871727416.jpg
1716871715098.jpg

1716871751727.jpg
 
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.

Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume. Nazungumzia viBUKTA kwa lazima..
Sheikh, serikali haina dini. Ukitaka tufuate itifaki ya dini yenu, maana yake utataka na askari nao wavae kanzu, baibui, barakashia, hijab, au mavazi maalum kama ya wale Wataliban bila shaka.

Mambo mengine ni ya kuvumilia na kuyapuuza tu. Kwanza hivyo vibukta vyenyewe wanavitumia huko huko kwenye mafunzo yao. Au umewaona navyo mtaani? Halafu hata ukiwona, utawagundua kama ni mabinti wa imani yako? Mbona ndugu zetu hamna jambo dogo!!!
 
Islamists, fundamentalist, radical islams,
Hii dini hiii, ni, shida Sana,
Hawa walimsumbua Sana Mkapa, 1995 to 2005!,
Kwa wasiojua, ukikutana na watoto wa shule za secondary za serikali, utaona kuna wasichana wamevaa sketi ndefu, hijabu,na blauzi za mikono mirefu,wengine sketi za kawaida mwisho magotini,
Kuwa hv, ilikuwa Vita balaa, miaka hiyo mashekh walikuja juu, wakitaka watoto wa ki Islam waruhusiwe kuvaa mavazi ya dini shuleni,wakataka mpaka hata polisi, wanajeshi wanawake wavae hijab! JWTZ, wakasema hapa mmevuka mipaka ikashindikana!
 
weka
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.

Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume. Nazungumzia viBUKTA kwa lazima.

Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.

Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.

Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama umara na kutetea haki hii.

Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta. Kwa jina la serikali isiyo na dini. Kwa jina la uzalendo kwanza.

Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili inafanywa kwa kwa kuwa itikadi ya nchi haina dini. Basi tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana ya kuwadhibiti wananchi wenye dini au kuwalinda?

Kudhibiti kwa kuwavua baadhi ya watz imani za dini zao badala ya kuzilinda.



Ukweli katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna sheria za jkt zinazowataka wasichana kuvaa vibukta.

Ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.

Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni ya tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya chama cha Mapinduzi tulioamua kuwaamini na kuwachagua watekeleze matakwa yetu. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani tulizonazo ambazo haziathiri imani binafsi.


Kwa miaka mingi sasa Jkt imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.

Kwani jkt ni moja ya taasisi hizo ni zetu sisi umma.

Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea.

Kama ambavyo vijana wa kike waliruhusiwa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini ktk mafunzo ya jkt wasiwe na uhuru huo.

Ni katiba, ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo na wanaohitaji stara kuvuliwa stara zao?

Iwapo ni masharti ya serikali (jkt) hawaoni wanausigina katiba inayotoa uhuru wa kuabudu. Na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi nchini tena zenye waislam walio wachache wanavyoruhusia kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo.

Je hii ni dhana ya serikali au ni tafsiri za watendaji wa serikali wanavyotafsiri wao sawa na imani zao?

Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu ni sehemu ya Uzalendo?.

Kunawataka watz waelewe hili. Kwa uhuru wa kuabudu nilik misingi ya haki za binadamu.
kama ni kweli weka picha wakiwa wamevaa bukta
 
N
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.

Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume. Nazungumzia viBUKTA kwa lazima.

Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.

Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.

Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama umara na kutetea haki hii.

Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta. Kwa jina la serikali isiyo na dini. Kwa jina la uzalendo kwanza.

Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili inafanywa kwa kwa kuwa itikadi ya nchi haina dini. Basi tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana ya kuwadhibiti wananchi wenye dini au kuwalinda?

Kudhibiti kwa kuwavua baadhi ya watz imani za dini zao badala ya kuzilinda.



Ukweli katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna sheria za jkt zinazowataka wasichana kuvaa vibukta.

Ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.

Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni ya tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya chama cha Mapinduzi tulioamua kuwaamini na kuwachagua watekeleze matakwa yetu. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani tulizonazo ambazo haziathiri imani binafsi.


Kwa miaka mingi sasa Jkt imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.

Kwani jkt ni moja ya taasisi hizo ni zetu sisi umma.

Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea.

Kama ambavyo vijana wa kike waliruhusiwa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini ktk mafunzo ya jkt wasiwe na uhuru huo.

Ni katiba, ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo na wanaohitaji stara kuvuliwa stara zao?

Iwapo ni masharti ya serikali (jkt) hawaoni wanausigina katiba inayotoa uhuru wa kuabudu. Na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi nchini tena zenye waislam walio wachache wanavyoruhusia kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo.

Je hii ni dhana ya serikali au ni tafsiri za watendaji wa serikali wanavyotafsiri wao sawa na imani zao?

Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu ni sehemu ya Uzalendo?.

Kunawataka watz waelewe hili. Kwa uhuru wa kuabudu nilik misingi ya haki za binadamu.
Naomba unambie kama ni sahihi kwa mwanamke wa kiislamu kichwa wazi hadharani?
Na je ni sahihi kuvaa Ijabu juu ya kombati za kijeshi?
Ni nani aliekwambia jeshini kunaudini?

The fact ni kwamba ukisha ingia tu kwenye geti lolote la jeshi kwa lengo la kwenda kupiga kozi basi jua elimu yako na imani yako vinaishia Getini. Ukiwa ndani hawatambui we ni Muslim au myahudi, Mwenye PhD au La saba

Acha kujifanya unazijua dini za watu Wakati we ni Mwafrika... jifunze kutafuta kujua hata historia ya Mwafrika. Ona sasa midini midini inavyokufanya uonekane huna akili?

Yan wanajeshi walelewe vile imani yako inataka! Mpumbafu kweli( Ashakum si matusi)
 
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.

Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume. Nazungumzia viBUKTA kwa lazima.

Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.

Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.

Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama umara na kutetea haki hii.

Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta. Kwa jina la serikali isiyo na dini. Kwa jina la uzalendo kwanza.

Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili inafanywa kwa kwa kuwa itikadi ya nchi haina dini. Basi tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana ya kuwadhibiti wananchi wenye dini au kuwalinda?

Kudhibiti kwa kuwavua baadhi ya watz imani za dini zao badala ya kuzilinda.



Ukweli katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna sheria za jkt zinazowataka wasichana kuvaa vibukta.

Ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.

Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni ya tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya chama cha Mapinduzi tulioamua kuwaamini na kuwachagua watekeleze matakwa yetu. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani tulizonazo ambazo haziathiri imani binafsi.


Kwa miaka mingi sasa Jkt imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.

Kwani jkt ni moja ya taasisi hizo ni zetu sisi umma.

Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea.

Kama ambavyo vijana wa kike waliruhusiwa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini ktk mafunzo ya jkt wasiwe na uhuru huo.

Ni katiba, ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo na wanaohitaji stara kuvuliwa stara zao?

Iwapo ni masharti ya serikali (jkt) hawaoni wanausigina katiba inayotoa uhuru wa kuabudu. Na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi nchini tena zenye waislam walio wachache wanavyoruhusia kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo.

Je hii ni dhana ya serikali au ni tafsiri za watendaji wa serikali wanavyotafsiri wao sawa na imani zao?

Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu ni sehemu ya Uzalendo?.

Kunawataka watz waelewe hili. Kwa uhuru wa kuabudu nilik misingi ya haki za binadamu.
Ya mtaani ni mtaani na ya kambini yanabaki kuwa kambini...

Hakuna ubaya
 
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.

Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume. Nazungumzia viBUKTA kwa lazima.

Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.

Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.

Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama umara na kutetea haki hii.

Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta. Kwa jina la serikali isiyo na dini. Kwa jina la uzalendo kwanza.

Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili inafanywa kwa kwa kuwa itikadi ya nchi haina dini. Basi tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana ya kuwadhibiti wananchi wenye dini au kuwalinda?

Kudhibiti kwa kuwavua baadhi ya watz imani za dini zao badala ya kuzilinda.



Ukweli katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna sheria za jkt zinazowataka wasichana kuvaa vibukta.

Ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.

Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni ya tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya chama cha Mapinduzi tulioamua kuwaamini na kuwachagua watekeleze matakwa yetu. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani tulizonazo ambazo haziathiri imani binafsi.


Kwa miaka mingi sasa Jkt imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.

Kwani jkt ni moja ya taasisi hizo ni zetu sisi umma.

Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea.

Kama ambavyo vijana wa kike waliruhusiwa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini ktk mafunzo ya jkt wasiwe na uhuru huo.

Ni katiba, ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo na wanaohitaji stara kuvuliwa stara zao?

Iwapo ni masharti ya serikali (jkt) hawaoni wanausigina katiba inayotoa uhuru wa kuabudu. Na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi nchini tena zenye waislam walio wachache wanavyoruhusia kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo.

Je hii ni dhana ya serikali au ni tafsiri za watendaji wa serikali wanavyotafsiri wao sawa na imani zao?

Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu ni sehemu ya Uzalendo?.

Kunawataka watz waelewe hili. Kwa uhuru wa kuabudu nilik misingi ya haki za binadamu.
When it comes to military affairs , kule wana rules zao. Unataka ku practise those rights za kiislam peleka
Islamists, fundamentalist, radical islams,
Hii dini hiii, ni, shida Sana,
Hawa kenge walimsumbua Sana Mkapa, 1995 to 2005!,
Kwa wasiojua, ukikutana na watoto wa shule za secondary za serikali,utaona kuna wasichana wamevaa sketi ndefu, hijabu,na blauzi za mikono mirefu,wengine sketi za kawaida mwisho magotini,
Kuwa hv, ilikuwa Vita balaa, miaka hiyo mashekh walikuja juu, wakitaka watoto wa ki Islam waruhusiwe kuvaa mavazi ya dini shuleni,wakataka mpaka hata polisi,wanajeshi wanawake wavae hijab!
Wenye nchi Yao, waliojaa jwtz,wakasema hapa mmevuka mipaka ikashindikana!
sijui kama wengi wanakumbuka hili, but it was chaotic. Thanks God muheshimiwa hakupanick alishikilia msimamo, or else jeshi lingekuwa la ajab ajabu
 
Back
Top Bottom