SUMA JKT ni shirika la jeshi la kujenga taifa si wanajeshi bali ni askari waliopitia jeshi kwa kujitolea na hawalipwi kama wanajeshi,suma jkt wana miradi mingi tu kama kushona nguo,kupaka rangi, ufundi ,na nk.na wanahaki ya kuomba tenda kama taasisi nyinginezo si vibaya ,ila tenda board za mashirika Tanzania huwekwa wazi kwa wote wanaoomba na siku ya kufungua wote mnatakiwa muwepo,baada ya mshindi wa tenda kupata mkataba wewe unautaka wa nini ?