Jkt ipo kama kawaida......!!

hiyo jkt ataenda yy,katibu wk na mkewe,me chuo udom nalipot tar 13 october, jkt mm nimeshai delete kwenye kichwa changu

Utaenda tu mkuu maana wao wameshika mpini wewe umeshika makali akivuta lazima akukate.
 
SWALI; kwa wale wa CBE ambao walianza kuripot 15 aug(kma sijakosea) watatolewa vyuon waende jeshi awamu ya tatu au???
 
Hii hatari.. But tuliokwisha enda awamu ya kwanza yetu macho na masikio. Yanyukwe.. Yakobolewe..!!
 
Mi naona huyo waziri hajafafanua vyema lakini kwa taarifa za kiintelijensia zilizonifikia ni kwamba intake ya 3 haitakuhusuni nyinyi form 6 leaver ambao hamjakanyaga au hamjawa selected kwenye 1st and 2nd intake bali itawahusu wahitimu wa diploma...


Usibishe bali tumia akili kutafakari utapata jibu kwa nini hzo taarifa nilizonazo ni za kweli 100%
 
hivi suala la jeshi ni lazima kwa wote watakaojiunga chuo?sasa na wale waliokuwa wanachukua diploma ambapo kuna wake za watu na wengine zaidi ni wajawazito saiv na wanatarajia kujiunga chuo,hilo litakuaje?
 
Mmh mi ndo nimechoka kabisa...najitahidi niamini jeshi awamu ya tatu hakuna lakini wapi!!
 
Source waziri wa ulinzi bungeni leo asubuhi
nanukuu
awamu ya pili watamaliza mafunzo yao september(tarehe haikutajwa)
awamu ya tatu wataenda octomber(tarehe haikutajwa)
na awamu ya nne itakuwa january (tarehe haikutajwa)

ataenda mwenyewe
 
amna kitu kama hicho ni mantik ndogo tu ya kufikiria .vyuo vifunguliwe kama vingine ambavyo vimeshatoa almanac zake af uone kama kuna mtu ataenda JKT waziri alikua na njaa anatafuta cheti za utendaji bora .lakini hatomfikia mwakyembe na maghufuli na alivyo mpuuzi zaid anaongelea awamu ya nne fikiria vyuo watu awaendi au .kama vyuo vitafunguliwa na first year wakaruhusiwa kuingia ata wakiniundia tume siend jkt.
 
Aendi m2 wataenda wenyewe na mabeki3 wao!!! Shenz kabisa time is money!

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom