niniii!.... c nilitaka kuanza lakwanza wakaniambia kadogodogo nkarudishwa vidudu!
Una vituko mdogo wangu ila pole zako.
bora aisee roho ilikua inaniuma sana kukosa kwata inabidi tukapige mzigo tuwe wakakamavu
Uwe mkakamavu wa roho ,nyie ndo wale wakabaji.
Sasa ngoja wenzako twende chuo mwez wa tisa we nenda huko jkt uwe mkakamavu,
chuo kuingia najua ntaingia haijalishi ni lini....
Gvt haijajipanga kwa hili swala la jkt najua inawauma sana cc tuliobaki kutokwenda ni wametukosa waliowapata wamewapata wacha tuwahiiii bata chuoniii
Uko darasa la ngapi?
we utakuwa umefeli tu
kumbe wewe unawahi chuoni kula bata?
pole sana
Bora mpungue muende huko JKT ili tupate mikopo kiulainii
Safi sana,,,basi wazi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!,AG4222 na support kwa asilimia mia iendelee
Upeo wako mdogo,hajasema anawahi kula bata,kasema anawahi bata aka offside trick
Je,Walioenda diploma mfano diploma ya teaching itakuwaje?
we ndo upeo wako mdogo me sijaongelea aka hapa
umesamehewa