JKT batch ya kwanza hiyo.

Mwanahisa

JF-Expert Member
Jun 29, 2012
1,382
510
Kila la kheri wadogo zangu.......!

images
 
Kila la kheri wadogo zangu.......!

images

Huyo dada atapona "tamaa" za afande ...? Maana nakumbuka enzi hizo, afande akimtaka binti mzuri na akagomewa basi atampa adhabu za mara kwa mara akitarajia kuwa binti atabadili msimamo!
Ila wapo waliovumilia adhabu hizo na wakamaliza "salama" yaani bila kwenda "Mkokoa Guest House"
 
Huyo dada atapona "tamaa" za afande ...? Maana nakumbuka enzi hizo, afande akimtaka binti mzuri na akagomewa basi atampa adhabu za mara kwa mara akitarajia kuwa binti atabadili msimamo!
Ila wapo waliovumilia adhabu hizo na wakamaliza "salama" yaani bila kwenda "Mkokoa Guest House"
Kweli mkuu, hii ni moja ya changamoto watakazo kumbana nazo ila hawana budi kuzishinda na kusonga mbele.
 
Huyo dada nikimweka kwenye ile scale ya shepu za makabila, anaweza akawa Mlugulu,Mkaguru, muarusha au mnyakyusa.
 
ndo hvy inabidi akomaa, kwn ht wale makamanda wao ni binadamu hvy ni msimamo wao ndo utakaowaweza kuvuka vikwazo hvyo.
 
Watoto wenyewe hawa do-com kama hawajaenda kuishia KULIALIA huko na kuilaani serikali.........Naamini kama mafunzo yatatolewa kwa nia halisi iliyopangwa hawa vijana lbda watarudi wakiwa wameacha kuwa NYORONYORO!!!!
 
JKT wameanza lini kuvaa kombati za mabaka mabaka! Unapodanganya uwe na uelewa mkubwa wa kile unachotaka kudanganya.
Hatukua na nia ya udanganyifu, ni picha tu na maelezo kwani zoezi lenyewe linaanza tarehe Mosi mwezi Machi....! Aksante kwa kuliona hilo pia.
 
Natamani ningekuwa afande mkufunzi mwandamizi! Hapo ningefundisha mpaka usiku bila kuchoka.
 
Back
Top Bottom