jk

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,363
58,386
8D6U2400.JPG
8D6U2383.JPG
8D6U2363.JPG
 
Hivi kweli tunasubiri misaada ya yeboyebo na tukutuku za 1.5 milion, unajua hata wanaotupa wakikaa faragha wanatucheka, tumejaza mashangingi barabarani, vipo wapi vipaumbele vyetu vyenye akili!
 
Je hiyo tukutuku inakuwa ikiendeshewa ndani??Na hizo yeboyebo za kuogea mwishimiwa!!au zakutoka nazo garden??jioni!!
 
Nina mashaka kama hapo anakumbuka cha Mwatex, Sunguratex, Bora, Tanganyika packers wala shangazi yao Nyumbu!!!
Wawekezaji, wawekezaji ooh yes... wawekezaji kutoka Google headquarters hadi Zhengzen China, na hayo yote kwa uzalishaji wa kutumia umeme wa Dowans!!!!
 
Hizo picha zinamuonyesha baba yake mzazi na Ridhiwani akipokea Yebo yebo kwa niaba ya Watanzania. Sijui kama hata mimi aliniwakirisha hapo
 
Unatumia billions kwenda kushangaaa YEBOYEBO!
Mbaya zaidi waziri wake anawafukuza kariakoo itawezekana kweli!
bora mm sipo kwa kuwa sikuwahi kumpa kura yangu.................aaaaaagrrrrrrr!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom