Nina mashaka kama hapo anakumbuka cha Mwatex, Sunguratex, Bora, Tanganyika packers wala shangazi yao Nyumbu!!!
Wawekezaji, wawekezaji ooh yes... wawekezaji kutoka Google headquarters hadi Zhengzen China, na hayo yote kwa uzalishaji wa kutumia umeme wa Dowans!!!!
Unatumia billions kwenda kushangaaa YEBOYEBO! Mbaya zaidi waziri wake anawafukuza kariakoo itawezekana kweli! bora mm sipo kwa kuwa sikuwahi kumpa kura yangu.................aaaaaagrrrrrrr!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.