majungu fm
JK hawezi kwenda kwa babu wa chadema:rain:
Je ni kweli? au just gossip?
Nafikiri mleta mada kaileta kama utani.. a joke.Je ni kweli? au just gossip?
uko sawa kabisa yan ni kama ambavyo Dr wa ukwel Slaa hawez kwenda kwa babu wa CCM SHEIKH YAHYA! Huko anaendaga Jk 2.
Je ni kweli? au just gossip?
Je ni kweli? au just gossip?
Je ni kweli? au just gossip?
Rais Jakaya Kikwete bado yupo France anapiga kabobo kama mnavomuona hapo mnamsingizia
Rais Jakaya Kikwete bado yupo France anapiga kabobo kama mnavomuona hapo mnamsingizia
Na Prof. Baregu utamuweka kundi gani?Babu katika Chadema ni Silaa tu, kuna Babu mwingine chadema? Labda na Arfi au Mamluki Shibuda? Duh, kuna kale kengine nimekasahau karafiki cha babu yangu, Ndesa.
Kumbe yeye alienda muda mrefu!!!kwel ni majungu fm cz nijuavyo mimi Jk alpoenda kufukua nyayo ndo alienda kwa babu loliondo, sa vp aende tn? Au dawa hazijamsaidia. Kwa taarifa yake babu hatoi dawa mara 2. Uknywa ucpopona huna bahat. Acheni majungu bana Jk ndye kiongoz wa kwanza kwnda kwa babu!