Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,667
....vituko vya rais wetu haviishi safari hii alifunga safari mzobe mzobe hadi songea kwenda kuzindua moja ya darala la kuvuka mto mkenda kwenye mpaka wetu na msumbiji....akabebana na protocal yake yote ...hadi mtoni akiwemo waziri wake membe..na makamu wa ccm..kwa mbwembwe...akitaka avuke hadi upande wa msumbiji kuashiria ufunguzi...lahaula!!!...kufika pale anakuta daraja lililogharimu bilioni 1.2..ndio kwanza ujenzi umefikia asilimia 35 %...duh....
nasema HILI NI TUSI TO PRESIDENTIAL INSTITUTIONS!!!!!!
..KWANINI advance team ya ikulu haikumshauri kuwa asiende kufungua daraja kwa kuwa halijakamilika kama anavyofikiri...
..kwanini uongozi wa mkoa wa songea na watu wa itifaki hawakuondoa ratiba ya kuzindua daraja huku wakijua kuwa halijakamilika..
..kwa nini wizara ya miuondo mbinu imemdanganya rais kuwa anaenda kuzindua daraja wazi ikjua kuwa daraja halijakamilika..kama ilivyodhaniwa..
..je rais wetu ni jeuri aliarifiwa maendeleo ya ujenzi na aliamua kwenda ..tu ili aongee ...HAKUONA KUWA HILI LINAENDELEA KUMJENGEA PICHA MBAYA KAMA RAIS WA KUDANGWANYWA DANGWANYWA NA ASICHUKUE HATUA YEYOTE?????....HAONI KUWA VITENDO KAMA HIVI VINAZIDI NA VINAMFANYA AONEKANE KAMA HAYUKO MAKINI.........
..LAZIMA TAASISI YA RAIS IHESHIMIWE ..HAIPENDEZI KUMPELEKA RAIS KWENYE SHUGHULI AMBAYO HAIJAKAMILIKA ......KAMA LENGO SI KUMDHALILISHA....NA HII INAONGEZEKA KWA KUWA MARA NYINGI RAIS BINAFSI HUSINGIZIA KUDANGWANYWA HALI HACHUKUI HATUA YEYOTE....
TUNAOPATA AIBU NI WATANZANIA KWA KUONEKANA KUWA URAIS WETU HAUKO MAKINI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
nasema HILI NI TUSI TO PRESIDENTIAL INSTITUTIONS!!!!!!
..KWANINI advance team ya ikulu haikumshauri kuwa asiende kufungua daraja kwa kuwa halijakamilika kama anavyofikiri...
..kwanini uongozi wa mkoa wa songea na watu wa itifaki hawakuondoa ratiba ya kuzindua daraja huku wakijua kuwa halijakamilika..
..kwa nini wizara ya miuondo mbinu imemdanganya rais kuwa anaenda kuzindua daraja wazi ikjua kuwa daraja halijakamilika..kama ilivyodhaniwa..
..je rais wetu ni jeuri aliarifiwa maendeleo ya ujenzi na aliamua kwenda ..tu ili aongee ...HAKUONA KUWA HILI LINAENDELEA KUMJENGEA PICHA MBAYA KAMA RAIS WA KUDANGWANYWA DANGWANYWA NA ASICHUKUE HATUA YEYOTE?????....HAONI KUWA VITENDO KAMA HIVI VINAZIDI NA VINAMFANYA AONEKANE KAMA HAYUKO MAKINI.........
..LAZIMA TAASISI YA RAIS IHESHIMIWE ..HAIPENDEZI KUMPELEKA RAIS KWENYE SHUGHULI AMBAYO HAIJAKAMILIKA ......KAMA LENGO SI KUMDHALILISHA....NA HII INAONGEZEKA KWA KUWA MARA NYINGI RAIS BINAFSI HUSINGIZIA KUDANGWANYWA HALI HACHUKUI HATUA YEYOTE....
TUNAOPATA AIBU NI WATANZANIA KWA KUONEKANA KUWA URAIS WETU HAUKO MAKINI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!