jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
watanzania wa kawaida wasiomjua wakiona hizi kashfa wanaweza kufikiri utani...lakini ndio hali halisi...nyingi hapa .....tayari zinajulikana ...
hiyo ya kina gogo inasikitisha sana....mama kilango anayo machungu makubwa rohoni...HUYU GOGO ...ni yule ndugu yake jk ...ambaye anapiga deals maskani kariakoo jirani na idrissa mosque...anaitwa HAMIS ...Yupo na jamaa wengine wa bagamoyo mmoja wao kuna wakati alikuwa cuf..?
Ni sawa kabisa Philemon..Ni huyo huyo HAMISI GOGO ambaye ndiye anachochea mambo ya kidini Tanzania kwani katumwa.
Ndio huo huyo anayetuhumiwa kuhusika na surubu hiyo aliyokumbana nayo Mama Killango.
Na ndiyo maana JK hana cha kumwambia Mama Killango!
Mama ni VICTIM na ushahidi upo...Akitaka kuchukuwa nchi hata kesho anaweza.
Na JK ndio maana hana nguvu..Cha muhimu ni huyo mama awasikilize wazalendo la sivyo atabakia kuwa VICTIM milele.