JK, Shein waula

JK, Shein waula

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
11,818
Reaction score
18,072
Sasa ni dhahiri endapo rasimu ya katiba mpya itapitishwa katika kura za maoni basi ni wazi kuwa JK na Shein wataendelea kukalia viti vyao si chini ya miaka miwili zaidi ili kuwezesha Watanganyika kuandaa katiba yao na Wazanzibari kurekebisha katiba yao ili iendane na katiba mpya!

Hivyo nawashauri Watanzania wenzangu tujiandae kisaikolojia kukabiliana na hali hiyo!

Mungu ibariki Tanzania!
Mungu ibariki Tanganyika!
Mungu ibariki Zanzibar!
 
Hizi kauli za 'Kuula' 'Waula' ni kauli zinazochochea wizi na matumizi mabaya ya public office.Tubadili mentality hii...!
Ukweli utasemwa tu hata kama unauma!

Kwa uzoefu tulionao ni kweli kuwa viongozi wetu - wa kisiasa na waserikali hutumia madaraka yao vibaya wanapokaribia kustaafu!
 
Sasa ni dhahiri endapo rasimu ya katiba mpya itapitishwa katika kura za maoni basi ni wazi kuwa JK na Shein wataendelea kukalia viti vyao si chini ya miaka miwili zaidi ili kuwezesha Watanganyika kuandaa katiba yao na Wazanzibari kurekebisha katiba yao ili iendane na katiba mpya!

Hivyo nawashauri Watanzania wenzangu tujiandae kisaikolojia kukabiliana na hali hiyo!

Mungu ibariki Tanzania!
Mungu ibariki Tanganyika!
Mungu ibariki Zanzibar!
Hayo ni mawazo yako ambayo hayana usahihi wowote.
 
Jk ataendelea kuwa ruru na anayeumwa ni kumwacha aumwe tu wala hatachafua sifa ya jk,twende jk tunaimani na wewe.
 
Kama waliingia madarakani kwa katiba ya zamani,bc watatoka kwa kufuata katiba hiyo ya zamani ambayo inasema kuwa uchaguzi utafanyika kila baada ya miaka mitano (5).Lazima watoke 2015,
 
Kwa mantiki hiyo uchaguzi mkuu utakuwa 2017 ili tupate muda wa kutengeneza katiba ya Tanganyika. ?
 
Kama waliingia madarakani kwa katiba ya zamani,bc watatoka kwa kufuata katiba hiyo ya zamani ambayo inasema kuwa uchaguzi utafanyika kila baada ya miaka mitano (5).Lazima watoke 2015,

Kwani Katiba yenyewe inasemaje, je, inawaruhusu waendelee?
 
Haya bana, Zitto atakuwa na sifa kwa umri wake wakati huo kuwa rais
 
Sasa ni dhahiri endapo rasimu ya katiba mpya itapitishwa katika kura za maoni basi ni wazi kuwa JK na Shein wataendelea kukalia viti vyao si chini ya miaka miwili zaidi ili kuwezesha Watanganyika kuandaa katiba yao na Wazanzibari kurekebisha katiba yao ili iendane na katiba mpya!

Hivyo nawashauri Watanzania wenzangu tujiandae kisaikolojia kukabiliana na hali hiyo!

Mungu ibariki Tanzania!
Mungu ibariki Tanganyika!
Mungu ibariki Zanzibar!

Uraisi ni majukumu, sio kuula! Ndio maana wanachekacheka tu! Hata hivyo hii makitu haikubaliki!
 
Sasa ni dhahiri endapo rasimu ya katiba mpya itapitishwa katika kura za maoni basi ni wazi kuwa JK na Shein wataendelea kukalia viti vyao si chini ya miaka miwili zaidi ili kuwezesha Watanganyika kuandaa katiba yao na Wazanzibari kurekebisha katiba yao ili iendane na katiba mpya!

Hivyo nawashauri Watanzania wenzangu tujiandae kisaikolojia kukabiliana na hali hiyo!

Mungu ibariki Tanzania!
Mungu ibariki Tanganyika!
Mungu ibariki Zanzibar!
Itabidi iundwe care taker Govrnment,sisi tuliwachagua watuongoze kwa miaka mitano tu na si vinginevyo!
 
Katiba ya Tanganyika haiwezi kumuongezea Jk madaraka , atatoka muda wake ukiisha ! HIlo neno lako 'ULAJI' Tunalitengenezea kipengere kwenye Katiba Mpya kwamba ' yeyote atakayefanya sherehe baada ya Uteuzi , atakuwa amejifukuza kazi mwenyewe ' Mawaziri wengi wa nchi hii walifanya SHEREHE KUBWA za kuuaga umasikini baada ya kuteuliwa ! Mmojawapo alikuwa LAZARO NYALANDU .
 
Back
Top Bottom