JK, Shein waula

JK, Shein waula

Sasa ni dhahiri endapo rasimu ya katiba mpya itapitishwa katika kura za maoni basi ni wazi kuwa JK na Shein wataendelea kukalia viti vyao si chini ya miaka miwili zaidi ili kuwezesha Watanganyika kuandaa katiba yao na Wazanzibari kurekebisha katiba yao ili iendane na katiba mpya!

Hivyo nawashauri Watanzania wenzangu tujiandae kisaikolojia kukabiliana na hali hiyo!

Mungu ibariki Tanzania!
Mungu ibariki Tanganyika!
Mungu ibariki Zanzibar!

shubiri na quinin ni chungu sana lakini huwa zinamezwa kwa malengo ya uponyaji....hii hata mie nakubali...aendelee tu
 
kuna watu hawafikirii sawasawa humu, wanashindwa kuelewa kuwa kupewa madaraka ni jukumu zito wanakuwa na mawazo mepesi eti flani aula, hii haikubaliki
ndo ushangae,mtu ashindwe kuula miaka kumi aliokaa madarakani aje kuula miaka miwili?
 
Hamna kitu kama hicho, katiba ya Tanganyika by late 2014 itakuwa tayari. Watch out!
 
umeenda opp, hapa tunajadili katiba ya nchi na uongozi wa muda, sio safari za rais.

Niko ndani ya mada mkuu, sema nimeenda mbele kueleza sababu za msimamo wangu. sikunalino na mazingira yoyote yatakayomuongezea muda wa hata dakika moja Jakaya kuwa Ikulu.

Kama ni swala la katiba ya Tanganyika, hiyo inawezwa kutengenezwa hata ndani ya wiki moja tu, tunahitaji watu smart kukaa na kuitengeneza na sio genge kuuuubwa kama la kina warioba.
 
Sasa kama huu sio Unafiki na Ugaidi ni nini. Umeenda kumfungulia uzi Hayat Rais kwa Mgongo wa Nyalandu, mtu ambaye umekuwa una mchana kila kukicha ona matamshi yako hapa
Mawaziri wengi wa nchi hii walifanya SHEREHE KUBWA za kuuaga umasikini baada ya kuteuliwa ! Mmojawapo alikuwa LAZARO NYALANDU .
 
Back
Top Bottom