Majibu
1. wajadiliane nini wakati kila kiongozi na wizara zinajua ifanye nini na tayari wanafanya..mbona unauliza kama vile hakuna kinachofanyika au ni uvivu wako kuona na kupima?
2. Maoni ya nini wakati kuna election manifesto inatekelezwa hatua kwa hatua na ndio direction, maoni yanafanyika wakati wa uchaguzi sasa hivi ni utekelezaje? uchaguzi umeisha watu wana chapa kazi nchi haendeshwi kwa maoni..unafikiri ni family business hii..election manifesto imetekelezwa for almost 70% fungua ukurasa wa manifesto uone
3. Unafikiri rais kufuatilia ni mpaka afike eneo la tukio kama daktari wa upasuaji ebbo! kuna utaratibu wa kufanya wala si lazima awepo nchini ndio utekelezaji ufanyike...
5. Kupima utendaji wake wa kila -nani kakwambia hafanyi ulifikiri lazima atangaze hilo kwako..performance review inafanyika kila wakati kwa mujibu president office regulations...
Tatizo lenu mnafikiri nchi ni habari moja tu ufisadi ufisadi basi...kuna shule zinajengwa, dispensary zinajengwa, barabara zinajengwa, vyuo vikuu vinajengwa, mikopo inatolewa, sheria zinatungwa..everything is in order...
hizo kelele za wafuasi wa lowassa na wanaojiita wapiganaji ni upupu na kukosa uzalendo kwa kiwango cha hali ya juu na uki-connect DOTS unaona kabisa wote wametokea sehemu fulani (root), wengine na opportunists wengine ni wivu wengi wao ni failures
Hata kama ni uchama lakini lazima tuseme ukweli kwamba rais kikwete anatumia pesa nyingi za walipa kodi kusafiri tu na safari zenyewe hazina tija. Mfano suala la kuondoa magari yote ya kifahari serikalini ili kupunguza matumizi ni nini kimeshindikana??
Suala la TRL ni nini kinaishinda serikali yake kuuvunja mkataba huo?
Tumeshuudia rais mzima anansema anawajua wala rushwa pale bandarini, hii si kauli ya kuwaambia wananchi, wananchi wanataka waone ni nini umefanya ktk sekta mbali mbali na siyo porojo.