Laptop01
JF-Expert Member
- Nov 29, 2009
- 1,365
- 796
Wanajamvi Salaam,
Nimemsikia Mkulu wa Nji hii ktk hutba yake ya Mwezi Sept,2012. Analonga, pamoja na maudhui mengine, kuhusu mauaji ya raia ktk mikutano ya vyama vya siasa. Ametolea mfano kifo cha Ndg. Mwangosi ALIYEUAWA KINYAMA na polisi.
Mkulu amesema POLISI WATENDEWE HAKI, ASICHUKULIWE HATUA ASIYEHUSIKA". Kwa ufahamu wangu wapiganaji hawa hawarindimishi risasi zao kwa lengo la kuua pasipo kuamrishwa na mkuu wao kufanya hivyo. Kauli hii inanipa picha kwamba Kaka Michael Kamuhanda sharti awaji bike kwa sababu ndiye anayehusika kwa maana ya kutoa MAELEKEZO/AMRI ya nini kifanyike kuhusu Mwangosi.
Sijui wanajamii mnalionaje hili?
Nimemsikia Mkulu wa Nji hii ktk hutba yake ya Mwezi Sept,2012. Analonga, pamoja na maudhui mengine, kuhusu mauaji ya raia ktk mikutano ya vyama vya siasa. Ametolea mfano kifo cha Ndg. Mwangosi ALIYEUAWA KINYAMA na polisi.
Mkulu amesema POLISI WATENDEWE HAKI, ASICHUKULIWE HATUA ASIYEHUSIKA". Kwa ufahamu wangu wapiganaji hawa hawarindimishi risasi zao kwa lengo la kuua pasipo kuamrishwa na mkuu wao kufanya hivyo. Kauli hii inanipa picha kwamba Kaka Michael Kamuhanda sharti awaji bike kwa sababu ndiye anayehusika kwa maana ya kutoa MAELEKEZO/AMRI ya nini kifanyike kuhusu Mwangosi.
Sijui wanajamii mnalionaje hili?