Jamani msimchukie JK kwa ajili hiyo tu.Kitendo cha kujishusha kwa kiongozi amiri mkuu wa majeshi ni nadra sana kwa viongozi wengi.
Tunanuliwa kwa mambo madogo madogo kama unga, kipande cha kanga, mlo wa pilau nk. siku hizi hata picha tu zinanunua wapiga kula
du jamani na hizo picha zenu!!!.....mbona mnamwandama sana kikwete wetu na hizo picha zenu?....mara kikwete kampa pipi mtoto eti ooohhh watoto hawana madaftari yeye anagawa pipi..................mara kikwete kalala kidogo kwenye bembea watu ooooh kikwete anakimbilia kubembea jamaica...jamani yaaani miwivu tuuu wmacheni raisi wetu atuletee maisha bora kwani miaka mitano aliyopewa alikuwa anaisoma nchi sasa amejua nini cha kufanya