Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Hivi Dr Haji Mponda na Dr Nkya walikuwa na kiburi toka wapi wakashindwa kuwasikiliza madakitari? Hivi walikuwa hawafahamu kuwa Dr JK alikuwa anapata information toka ndani kabisa ya jopo la madakitari kupitia mwanae Salama ambaye ni dakitari? Nadhani walipaswa waache kumdanganya Rais, watekeleze matakwa ya madakitari ili kuepuka hii aibu iliyowakumba. Nampenda JK kwa hili maana kama ni kisasi wala huwezi ukajua yeye ndiye aliyeamua "Ni kamati kuu" ya CCM, eti!!?
Madaktari wafurahia Dk Mponda, Nkya kuondolewa
Madaktari wafurahia Dk Mponda, Nkya kuondolewa